Salum Mwalimu: Kuugua na kulazwa ghafla kwa Mhe. John Heche

Mhere Mwita

JF-Expert Member
Jan 24, 2012
235
1,275
Wakuu salaam. Natumai tupo wazima. Kama inavyozunguka mitandaoni kuhusu kulazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa Mhe. John Heche, taarifa hiyo ni ya kweli.

Mhe. Heche alifika Hospitali ya Taifa Muhimbili siku ya Jumanne wiki hii kwa uchunguzi wa afya yake, baada ya uchunguzi wa awali alishauriana na daktari wake na kukubaliana angerejea Hospitali baada ya wiki mbili kwa matibabu rasmi.

Hata hivyo jana usiku
Mhe. Heche alipata maumivu makali ya ghafla tumboni na leo asubuhi alikimbizwa Hospitali Muhimbili na kufanyiwa upasuaji (specialised surgery).

Upasuaji umeenda vizuri na hali yake inaendelea vema sana. Mwenyekiti wa Taifa Mhe. Freeman Mbowe amemtembelea kumjulia hali.

Salum Mwalim
Naibu Katibu Mkuu
CHADEMA
Jumapili April 17, 2017
 
Tunashukuru kwa taarifa na Mungu amsimamie apate nafuu na apone kabisa, lakini Salum Mwalimu wewe ni Naibu Katibu Mkuu Zanzibar, mbona kila siku upo huku Bara ambako kuna John Mnyika? au umeua kuteka kazi zake kwa kushirikiana na hilo genge la wauza Inga wa CHADEMA?
 
Ccm tunaombea afe
Wewe si ccm wala chama chochote kingine zaidi ya chadema. Maana chedema ndio huomba mabaya yaikumbe nchi hii. Sasa hapo mnataka tuingie gharama za uchaguzi mdogo.
Ccm haiombi raia yoyote apoteze maisha ili aje aone mafanikio ya serikali zake kama vile apande treni ya haraka kutoka Dar mpaka Moro,Dom na Mwanza.
Mh Heche Mungu akupe uponya wa haraka ili upate kuyajenga na Dc Luoga na Tarime ianze kuzalisha sukari.
 
Back
Top Bottom