kamanda Hannibal
Member
- Jan 24, 2018
- 15
- 12
CCM huwa wanahoja za kipumbavu ndio maana tunaitwa shithole countries kwa sababu ya type ya siasa kama hizi!!
Siasa za kuchafuana kwa maana hiyo mtulia ataenda kuwakula wanakinondoni wote, ni wananchi wametukanwa kama hawana akili watamchagua ili waliwe na kutiwa!
Siasa hizi hadi US zipo, kasome AUDACITY OF HOPE cha Obama. Siasa ni siasa tu, ndio maana unaambiwa ukiwa mwanasiasa usiruhusu kupigwa picha ukiwa 'bafuni'