jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Nimetafuta picha ya Salum Mwalim akiwa anapiga kura katika jimbo la Kinondoni sijaiona. Hii inamaanisha hakupiga kura na wakati wanakinondoni wanapiga kura yeye alikuwa anazunguka kwenye vituo.
Jiulize ni kwanini alikutwa kwenye kituo cha kupiga kura wakati yeye sio mpiga kura au wakala au msimamizi katika uchaguzi?
Jiulize ni kwanini alikutwa kwenye kituo cha kupiga kura wakati yeye sio mpiga kura au wakala au msimamizi katika uchaguzi?