Hivi kwa nini "sure boy"hayupo kwenye Timu ya Taifa?nimeshangazwa na kuachwa kwa Sure boy ,nionavyo Mimi ni mmoja wa holding midfielders wazuri sana kwenye ukanda wetu.wadau wa soka mbona alijazungumziwa hili swala au majeruhi?
Hivi kwa nini "sure boy"hayupo kwenye Timu ya Taifa?nimeshangazwa na kuachwa kwa Sure boy ,nionavyo Mimi ni mmoja wa holding midfielders wazuri sana kwenye ukanda wetu.wadau wa soka mbona alijazungumziwa hili swala au majeruhi?
sure boy ni holding midifider??? Sureboy ni kiungo mchezeshaji .. Kwa kifupi hata mie ningekua kocha sureboy hana nafasi mda wote anapiga square pas na back pass kiujumla huwa si mtu wa kupeleka tim mbele.
kweli kabisa kinachomponza sure boy ni kucheza sana naHuyu dogo anajua,tatizo kubwa kubwa ni kucheza na jukwaa,kushindwa kupiga pasi za mwisho...
ni fitna tu ndio zimewajaa watz hamna jengine...Hivi kwa nini "sure boy"hayupo kwenye Timu ya Taifa?nimeshangazwa na kuachwa kwa Sure boy ,nionavyo Mimi ni mmoja wa holding midfielders wazuri sana kwenye ukanda wetu.wadau wa soka mbona alijazungumziwa hili swala au majeruhi?