Salon za kiume vs HIV

Muache twende taratibu maana yeye anadhani kua kirusi hakifi na ndo maana unaambiwa kirusi fulani kinaweza kusavive labda mazingira fulani kwa muda fulani kutegemea na condition fulani sasa hapo ndo anashindwa kuelewa.

Kirusi kinakufa ila si kwa sababu rahisi na ndo maana kina muda fulani wa kusavive..mfano huwezi kunambia uchukue kirusi labda cha HIV ukakiweka kwenye joto la nyuzi 100 labda kwa 1hr halafu kikawa kizima lazima kitakufa maana kinachokipa uhai ni nuclear na tayari imeshaharibiwa.

Pia na kama kingikua hakifi nje ya Host hata kama hakuna mazingira yanayomruhusu kuishi wote tungelikua na ukimwi.
Kirusi ni kiumbe kinachotegemea kiumbe kingine (host) ili kiwe na maisha, ni living thing kwasababu ya kuwa na baadhi ya sifa za viumbe hai, lakini hajakamilika.
 
Muache twende taratibu maana yeye anadhani kua kirusi hakifi

Kirusi kinakufa ila si kwa sababu rahisi na ndo maana kina muda fulani wa kusavive..

Nimepitia hapo juu, kuna mtu kasema kirusi kina “mutate” ndio maana hakina dawa, nikajua kuna watu wanakujana ile elimu inayotumika kuwarahisishia watu wa kawaida kuelewa kuwa ugonjwa unaosababishwa na kirusi hauna dawa.
 
Kuna siku nimependa kunyoa jamaa akanikata sikio, sijui alikuwa anafanyaje. Daaah nilipagawa hatari. Halafu akataka kuleta ufundi wa kulishikashika!

Nikwambia liache, amalize haraka kuninyoa niondoke. Damu zilitoka balaaa. Akamaliza kunyoa nikasepa breki ya ya kwanza hospital.

Nikasafishwa, nikaambiwa kuhusu risk ya ukimwi na Homa ya ini. Nikapimwa ngoma, nikaambiwa niamue kumeza vile vidonge vya kuzuia maambukizi ambavyo kimsinsingi ni ARV. Ni kila siku kimoja kwa siku 28.

Niliwaza Sana nikapigia simu karibu watu kutaka ushauri nimeze au niache kuanzia ofisini , ndugu MKE wangu na wengineo.

Jamani tuwaombee Dua Sana wanaomeza vile vidonge. Nilimeza siku tatu tuu nikabwanga manyanga.

Aaaaaaaah Hatari Sana.
 
Hii mada bado ipo kirusi cha ukimwi kikiwa nje ya mwili kikipata hewa tu kinakuwa inactive nakikiwa inactive hakina uwezo wakuwa active tena maana kimekufa ili kikae kinahitaji joto kinaweza ishi mpaka siku 5 mpaka 6 nje ya mwili adui wake hewa.
 
Kirusi ni kiumbe kinachotegemea kiumbe kingine (host) ili kiwe na maisha, ni living thing kwasababu ya kuwa na baadhi ya sifa za viumbe hai, lakini hajakamilika.
unaposema ", ni living thing kwasababu ya kuwa na baadhi ya sifa za viumbe hai, lakini hajakamilika."

unamaanisha nn?
 
Muache twende taratibu maana yeye anadhani kua kirusi hakifi na ndo maana unaambiwa kirusi fulani kinaweza kusavive labda mazingira fulani kwa muda fulani kutegemea na condition fulani sasa hapo ndo anashindwa kuelewa.

Kirusi kinakufa ila si kwa sababu rahisi na ndo maana kina muda fulani wa kusavive..mfano huwezi kunambia uchukue kirusi labda cha HIV ukakiweka kwenye joto la nyuzi 100 labda kwa 1hr halafu kikawa kizima lazima kitakufa maana kinachokipa uhai ni nuclear na tayari imeshaharibiwa.

Pia na kama kingikua hakifi nje ya Host hata kama hakuna mazingira yanayomruhusu kuishi wote tungelikua na ukimwi.
kwa hyo kwa sababu sio wote wana UKIMWI ndo mana unaamini kirus anakufa?
 
unaposema ", ni living thing kwasababu ya kuwa na baadhi ya sifa za viumbe hai, lakini hajakamilika."

unamaanisha nn?

Sayansi darasa la tatu, sifa saba za viumbe hai. Kirusi kinazo baadhi, nyingine hakina kama vile kuzaliana, kula n.k
Hayo ni maelezo rahisi, ukitaka magumu kidogo tutaingia kwenye habari za nucleic material.
Ukitaka magumu zaidi hata mimi siwezi kuelezea
 
Sayansi darasa la tatu, sifa saba za viumbe hai. Kirusi kinazo baadhi, nyingine hakina kama vile kuzaliana, kula n.k
Hayo ni maelezo rahisi, ukitaka magumu kidogo tutaingia kwenye habari za nucleic material.
Ukitaka magumu zaidi hata mimi siwezi kuelezea
duh sawa heb kila mtu abaki na analolijua maana mm n mviv sana kutype yaan nina maelezo marefu kichwan sasa kuyaweka hapa ndo kazi.
 
We jamaa nadhani hujaelewa kabisa huko shule ngoja kwanza nikujibu kwanini virus anaitwa non living na huwa anaongezeka kwa staili gani.

"Viruses are not living things. Viruses are complicated assemblies of molecules, including proteins, nucleic acids, lipids, and carbohydrates, but on their own they can do nothing until they enter a living cell. Without cells, viruses would not be able to multiply. Therefore, viruses are not living things."

Nimekueleza kwa lugha rahisi usipoelewa hapa basi.
ok...twende taratbu utanielewa
umesema virus ni non living je virus wanatumia which means of reproduction ili kuongezeka?
 
Hapo nimetolea mfano wa kukwambia virusi vinakufa kikaa kwenye hewa tena ikiwa sio ya unyevu(hewa joto) na ndo maana si rahisi kupata ngoma jomba.

Mfano hospitali tunatumia prika kwa ajili ya kutobolea capillaries kwenye kidole ili tuchukue damu...ile prika ikikaa kwa dakika dakika na zaidi na damu ikikauka(yenyewe haifadhi damu) pale hata ukijichoma nayo huwezi kupata kirusi maana hakuna fresh blood hivyo kirusi hakina uwezo wa kusavaivu...
kwa hyo kwa sababu sio wote wana UKIMWI ndo mana unaamini kirus anakufa?
 
Nimemjibu hapo chini
Sayansi darasa la tatu, sifa saba za viumbe hai. Kirusi kinazo baadhi, nyingine hakina kama vile kuzaliana, kula n.k
Hayo ni maelezo rahisi, ukitaka magumu kidogo tutaingia kwenye habari za nucleic material.
Ukitaka magumu zaidi hata mimi siwezi kuelezea
 
Labda utuambie kirusi kinatumia njia gani kujizalisha akiwa ndani ya Host cell?
duh sawa heb kila mtu abaki na analolijua maana mm n mviv sana kutype yaan nina maelezo marefu kichwan sasa kuyaweka hapa ndo kazi.
 
Hatari kubwa kwenye hizi salon ni jinsi ya kudili na wale watoto waoshaji.

Pale ndiyo hatari zaidi ya hatari, maana naamini kati ya 10 wanaohudumiwa na wale watoto, watu wawili mpaka wanne lazima wajiongeze.
 
Hapo nimetolea mfano wa kukwambia virusi vinakufa kikaa kwenye hewa tena ikiwa sio ya unyevu(hewa joto) na ndo maana si rahisi kupata ngoma jomba.

Mfano hospitali tunatumia prika kwa ajili ya kutobolea capillaries kwenye kidole ili tuchukue damu...ile prika ikikaa kwa dakika dakika na zaidi na damu ikikauka(yenyewe haifadhi damu) pale hata ukijichoma nayo huwezi kupata kirusi maana hakuna fresh blood hivyo kirusi hakina uwezo wa kusavaivu...
Ujue wewe mvumilivu sana?
Mimi hapa nimeshakunja ngumi hapa mara kibao

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom