Salon na wateja tegemezi

Luigi Alfred

Member
Mar 17, 2016
63
42
Wadau mnalionje hili? Mtu anakaa kwenye Salon muda wote utafikiri hana kazi. Uso ukipauka anadonoa vipodozi vilivyowekwa kwa ajili ya wateja. Mara achungulie sura kwenye kioo mara ajimosoe.

Huu sio ustaarabu mnawaingiza hasara wenzenu waliowekeza katika miradi kama hiyo.
 
Watu wa hivyo ni kero sana.unakuta sasa ana sauti sabufa cha mtoto kelele mtindo mmoja kila kitu anajua yeye.

Mteja akija ataanza kumuuliza maswali utadhan mteja yupo interview ya kunyoa au kusuka.
 
Wadau mnalionje hili? Mtu anakaa kwenye Saloon muda wote utafikiri hana kazi. Uso ukipauka anadonoa vipodozi vilivyowekwa kwa ajili ya wateja. Mara achungulie sura kwenye kioo mara ajimosoe. Huu sio ustaarabu mnawaingiza hasara wenzenu waliowekeza katika miradi kama hiyo.
Sio Saloon ni Salon
 
Naomba mwenye uzoefu kuhusu gari aina ya PASSO sette anijulishe tafadhali . Je ni gari zuri kwa matumizi ya familia?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom