Hatukatai kwamba ni sehemu ya Tanzania, lakini je hiyo sehemu ina watumiaji (wasafiri na mizigo) wa kutosha watakaoweza kuufanya huo uwanja usionekane kituko?
Nina wasiwasi tukimaliza Chato tutakwenda RuangwaMkuu
Watu wataenda kushukia kule ili wakakione kijiji kilichotoa tingatinga na jirani tu na hapo msitu wa Gombe. Si wajua tena mambo ya sokwe na makinikia
Nadhan wanachato shule na dispensary zingewasaidia zaidi! Nadhan ndio Maana unatakiwa kufanya feasibility analysisChato ni Tanzania, na wana chato wanataka maendeleo
Nina wasiwasi tukimaliza Chato tutakwenda Ruangwa
Kweli kabusa mkuu hakuwezi kuwa na mwanzo mpya wakati bado watu wana machungu ya nyuma...... wazo zuri sana hili ila sijui kma litachukuliwa hili maana kuna watu hawataki kukosolewa au kuambiwa ukweli!!Kama wanataka kupeleka mikataba yote Bungeni au kama kweli hataki watu fulani wasijadiliwe hadharani basi nafikiri ni bora waunde Reconciliation Commission kama RSA walivyofanya baada ya uhuru ili tuzungumze watu wamalize hasira zao na tuanze upya!!
Mbona hili la uwanja lilishajibiwa kitambo!! Huyu dada aache wivu wa kijinga, hata Chato wanaishi binadamu nao wanahitaji uwanja.
Yeye mbona kapata ubunge viti maalum Shinyanga wakati ni wa Kaskazini? Au kisa chama cha mababy?
Tofauti na mkoa wa Dar, niambie ni mkoa gani mwingine wenye wabunge ambao si wazawa!Hivi ubunge ni mahala unapoishi ama ulipozaliwa? Yaani kwa maana hiyo msukuma asigombee jimbo la dar na mkurya asigombee jimbo la uchaggani? Hivi mnawazaga nni great thinkers?
Chato ilijibiwa na mdomo sisi tunataka tuone mikataba na michakato ya manunuzi ya kila kitu mpaka bajeti maana ndio inavyotamka open Governance Initiative ambao Tanzania mlisign pia ssa siri siri za nni?
Haya niambie kivp uwanja ujengwe Chato kijijini wakati hata maji na elimu ni shida? Yaani Chato Airport sio kukarabati uwanja wa Mwanza au kujenga mkubwa zaidi DODOMA? Sasa nani aende Chato? Kama sio kuwa kipaumbele kibovu.
Hizo ni propaganda mkuu utaitaje mtubwa kaskazini wakati mtu kma lyimo anakaa dar na alipigiwa kura za viti maalum dar na akashinda sasa kivp anakuwa BABY wa kaskazini??? Je alishinda viti maalum kaskazini afu akateuliwa kuwakilisha mwanza???? Embu acheni propaganda wana ccm mara kumi ungesema hupendi watu wa eneo flani kugombea eneo jingine na kushinda ila usije na propaganda eti mababy wakati kura zilipigwa na mshindi akapatikana sasa kivp uteuzi umechukua wakskazini wakati huyo makamba aligombea huko huko shinyanga ana akachaguliwa na wanashinyanga ila akipewa nafasi eti NI MKASKAZINI?????? hivi hii ni sawa kweli??Tofauti na mkoa wa Dar, niambie ni mkoa gani mwingine wenye wabunge ambao si wazawa!
Hivi unajua makada wa chadema walilamika sana baada ya teuzi za viti maalum kwa baadhi ya mikoa kuwekwa mababy wa Kaskazini ambao hata hiyo mikoa hawaijui?
Najua umelishwa ujinga vitu kama hivi kwako ni sawa.