Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
Salman Rushdie aliyechomwa kisu huko Marekani, hali yake inazidi kuimarika baada ya kutolewa kwenye mashine ya kupumulia na sasa anapumua mwenyewe.
Aliyemdhuru amewekwa ndani bila dhamana kwakua imeonekana ni mtu hatari kwa jamii.
Pia soma
Aliyemdhuru amewekwa ndani bila dhamana kwakua imeonekana ni mtu hatari kwa jamii.
Pia soma
- Mwandishi Salman Rushdie avamiwa na kuchomwa kisu kwenye mhadhara, New York
- Bwana Salman Rushdie yuko chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) baada ya kuchomwa kisu akiwa jukwaani huko New York