moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 125,393
- 688,963
Sheria zetu zinamtambua mtoto ni yule ambaye hajafikisha umri wa miaka 18,
Sheria inasema kuzini na binti chini ya miaka 18 ni tendo la kubaka.
Cha kushangaza tunaendelea kumbana binti aliyebakwa asiendelee na masomo ingawa aliyempa mimba atafungwa miaka 30 kwa kosa la kubaka!!
Sheria inasema kuzini na binti chini ya miaka 18 ni tendo la kubaka.
Cha kushangaza tunaendelea kumbana binti aliyebakwa asiendelee na masomo ingawa aliyempa mimba atafungwa miaka 30 kwa kosa la kubaka!!