Mantissa
JF-Expert Member
- Jul 24, 2010
- 876
- 166
Katika hali isiyo ya kawaida, nimemsikia mke wa kikwete akitoa agizo kwa wamama wa chama cha CCM wakawakanye watoto wao hasa wa kiume ( akidai wa kike hawana matatizo) waipigie kura CCM eti ndo wanaonekana kuwa wabishi. Akasema vijana wa miaka ya tisini wana matatizo kuliko yeye.
Naona kama huyu dada yangu anasumbuka bure.
DR Slaa for president
Nawasilisha
Naona kama huyu dada yangu anasumbuka bure.
DR Slaa for president
Nawasilisha