ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,554
- 3,749
Basi kwann is iwe kwa watumishi wote wa umma, mume mstaafu akifa basi mke ape we 40% ya pension ya mumewe
Good point. Kwanini iwe kwa tabaka la juu tu? wakati tabaka la chini ndio lina maisha magumu zaidi.
Wajifunze kupigania maslahi ya wengi. Ikiwezekana Wabunge wote waishi maisha,kupata mishahara ya walimu, polisi, machinga, mama ntilie kwa miezi mitatu kabla ya kwenda bungeni. Watajifunza uhalisia wa maisha.