Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,850
- 155,799
Hatari sanaKweli kabisa yeye naona analingia na current asset ndo asset zingine zipo wasafi hajui any time anakua Kama ndugu yake harmonize pale WCB
Hatari sanaKweli kabisa yeye naona analingia na current asset ndo asset zingine zipo wasafi hajui any time anakua Kama ndugu yake harmonize pale WCB
Aliye kosea aliye leta threads, hesabu zimempitia pembeni. Salam alitoa rate kabisa 1m stream dollars elf 10 na hata AT alipohojiwa na Millard aliwahi kusema 1m stream unalipwa kati ya dola elfu 10-12,so kimahesabu nil dola 230,000 na si Usd bil 230.Wakuu hakika Salam SK kakosea,namtetea kwa nguvu zote.dola bilioni 230 sio kabisa kakosea vibaya sana.alafu na watangazaji wetu nao ni utopolo tu.
Ahaaa,kumbe mleta thread ni sneetch tu.Aliye kosea aliye leta threads, hesabu zimempitia pembeni. Salam alitoa rate kabisa 1m stream dollars elf 10 na AT alipohojiwa na Millard aliwahi kusema 1m stream unalipwa kati ya dola elfu 10-12,so kimahesabu nil dola 230,000 na si Usd bil 230.
Ni Kweli kabisa nimecheki pia Mase alipokua anahojiwa kuhusu umafia wa puff daddy, Mase anakwambia mikataba mingi ni magumashi na wasanii weng kwasababu ya uchanga wao na elimu ndogo wanasaini vitu ambavyo hawavijui mwa mfano Mase mkataba wake na Bad boys ambayo waliingia 1996 umekuja kuisha 2020 kumbuka 50cent alitaka kumsajili Gunit ukashindikana kabisa mwishowe Mase amekua mlokole, pia nliona clip ya busta rhymes anakwambia label nyingi zina fake maisha halis ya wasanii kwa mfano utavalishwa cheni fake,watakupa gar za kifahar,nguo kali,utapangiwa nyumba kali lakn bila msanii kujua kuwa anakuja kukatwa kwenye malipo yake ya show au streams.Label zinawanyonya sana wasanii, nilikwua nasikiliza interview ya T-Pain akieleza jinsi label zinavyo wamiliki wasanii na wanashindwa kujiondoa kwenye mikataba waliyosaini nikashangaa. Yani wakiwekeza ela utailipa mara kumi, mfani wakiwekeza milioni mia utalipa bilion moja. Na kumbe hakuna ela ya maana unayochukua mpaka warudishe walichowekeza. Unakuta msanii wamewekeza dollar milion 4, ile ela inabidi alipe milion 40, basi inamchukua miaka kulipa hiyo pesa na hata akitaka kujichomoa hawezi.
Yes hata Snoop Doggy same thing. Anakwambia alishtuka siku anasimamsishwa na askari wa usalama barabarani, halafu askari anamwita Snoop Mr Suge (maana alikuwa chini ya label ya Suge Knight ya Death Row). Ndipo akaja kutambua kuwa hakuna anachomiliki, kuanzia magari, nyumba anayoishi na kila kitu kinamilikiwa na label ambayo mmiliki wake ni Suge Knight. Anakwambia hapo ndipo alipoamua kuchukua hatua.Ni Kweli kabisa nimecheki pia Mase alipokua anahojiwa kuhusu umafia wa puff daddy, Mase anakwambia mikataba mingi ni magumashi na wasanii weng kwasababu ya uchanga wao na elimu ndogo wanasaini vitu ambavyo hawavijui mwa mfano Mase mkataba wake na Bad boys ambayo waliingia 1996 umekuja kuisha 2020 kumbuka 50cent alitaka kumsajili Gunit ukashindikana kabisa mwishowe Mase amekua mlokole, pia nliona clip ya busta rhymes anakwambia label nyingi zina fake maisha halis ya wasanii kwa mfano utavalishwa cheni fake,watakupa gar za kifahar,nguo kali,utapangiwa nyumba kali lakn bila msanii kujua kuwa anakuja kukatwa kwenye malipo yake ya show au streams.
Pia nliona kisa cha kundi mashuhuri la TLC kuvunjika aisee nilijua unyama uko Tz tu kumbe hata america label zimeua na kufilisi wengi,TLC walikua wakipewa nguo,viatu,cheni,miwani,magari etc hapo weka na tiketi za ndege,gharama za show,gharama za hotel wakienda tour au show,gharama za photoshot,gharama za airtime promoshen etc sasa TLC walikuja shituka kwenye album kwa mfano imeingiza bilion 4 wao wako 4 wanashangaa kwenye akaunti inawekwa 100mil wakiuliza wanaambiwa makato ya label kundi likafa....ndo mana hata hapa kwetu angalia fela alichowafanyia TMK
YAMOTO BAND ni wizi na dhruma,Yamoto walijengewa nyumba kwenye kiwanja kimoja na nyumba zimeungana kama train ndo madogo wakahoj mbona wakina chege wamejengewa separate sie kiwanja kimoja tukae wote? Kundi likafa, angalia harmonize kawalipa wasafi kiasi gan cha pesa kujitoa? Rich mavoko mpaka leo akaunti yake ya youtube anaishikilia sallam.
Tena mama anauza genge, dogo kutwa kusuka nywele na vipini jinga kabisa.Kashindwa hata kumjengea mama yake kule Mbeya
TRA badala ya kutoza kodi mabilioni 230 US DOLLARS ya Bilionea Rayvany, wanahangaika na tozo za miamala kwa walalahoi wasiokua na mbele wala nyuma
TRA badala ya kutoza kodi mabilioni 230 US DOLLARS ya Bilionea Rayvany, wanahangaika na tozo za miamala kwa wallahi wasiokua na mbele wala nyuma
Kabla hawajaingia WASAFI walikuwa wanaingiza kiasi gani? Ulimsikia Khadija Kopa akisema wamewekeza mamilioni kwa mwanae, unajua huko mbele mwanamuzi hupata posho ya ku survive tu mpaka investment waliyomfanyia irudi na baada ya hapo ndipo rasmi huanza kulipwa percentages kardi contract inavyoelekeza.Ila nawaambia label zinanyonya mno, namuonea huruma rayvanny na zuchu, wanaingiza millions Ila zinaenda kununua rolls roys
Ukiwa na pesa na ujanja wa kumpromote msanii tu, ndio kigezo chenyewe cha kuwa meneja wa msaniiHivi ni kigezo kipi kinatumika kuwa meneja wa msanii?