Sallam SK: Tetema ya Rayvanny imeingiza Dola milioni 230

mwanamabadiliko

JF-Expert Member
Oct 30, 2010
843
1,363
Katika mahojiano ya leo Meneja wa Diamond amedai Tetema ya Rayvanny imeingiza Dola bilioni 230 za Kimarekani, na kwamba Rayvanny ni tajiri na anaongoza.

Pesa hizo alizotaja Meneja SK ni nusu ya pesa za makenikia, ni pesa nyingi sana, sasa sijui ni kweli au kiki msikilize.

 
...
IMG-20210720-WA0017.jpg
 
Back
Top Bottom