Salimu Kikeke akipaka Poda.

Labda anataka kuingia studio kubroadcast live. Uislamu na poda wapi na wapi?
 
Swali lako ni lipi?
Uislamu unasemaje kuhusu mwanaume kupaka poda?..AU
Uislamu unasemaje kuhusu matumizi ya poda?.
 
Msipende kuleta udini katika kila kitu. Na nina hakika alieleta thread hii sio muislam kwasababu muislam hawez kuuliza upuuzi kama huu
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom