Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,894
- 33,453
Safi sanaNDIO
Safi sanaNDIO
Kwa taarifa yako mimi sina ustaarabu wowote. Umekosea pa kujaribu. Mimi ukileta upumbavu wako wala sikucheleweshi. Ni jino kwa jino.This my day yani Member wengi humu na wa approach ni wa win kisaikolojia wananikwepa basi inaniuma kichizi nilitaka nikupite ila nikajisemea tu ebu mchokonoe kidogo akutukane. Kwanza ukakausha ikaniuma nikataka nikuwache ila kitu kwa mbali kikaniambia nikurudie. Yani ulivyonitukana tu dah nikajisemea Dogo tayari kashaingia mkenge.
Yani kuwini wadau kisaikolojia humu ndo furaha yangu ni mda sasa. You made my weekend
Dogo kubali tu nimekuwin kisaikolojia. Yani nafurahi sana kucheza na akili za wadau ambao hata hawanijui na hatujuani. Inflicting pain without physical encounter. Dah max asante kwa JF!Kwa taarifa yako mimi sina ustaarabu wowote. Umekosea pa kujaribu. Mimi ukileta upumbavu wako wala sikucheleweshi. Ni jino kwa jino.
Habari za muda huu
Habari zilizotufikia toka Mwanga mkoani Kilimanjaro zinasema Diwani Salim Zubery wa kata ya Kileo Halmashauri ya Mwanga amefariki dunia muda mfupi uliopita.
Hii Covid 19 imekuja kiumeInasemekana ni Covid-19. Tuendelee kuchukuwa tahadhari.
Hapa mnafanya maandalizi tu ya kisaikolojia kuna kitu mnakipika ambacho kitazusha taharuki muda sio mrefu.Habari za muda huu
Habari zilizotufikia toka Mwanga mkoani Kilimanjaro zinasema Diwani Salim Zubery wa kata ya Kileo Halmashauri ya Mwanga amefariki dunia muda mfupi uliopita.