Salim Said Bakhresa ametajwa na Jarida la Forbes miongoni mwa matajiri kumi barani Afrika.

Basi msome sio mnakimbilia kupost..tu ...hayupo hata top 40,

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
na yeye? Soma historia yake,
baba yake aliiuliwa wakati wa mapinduzi znz na kabla karume alikua akila kwake hivyo karume kusikia bakharessa kauliwa nae..akaja juu kasema jamani mnaua tu kila mtu wengine hawa ndo walo tuweka hapa mjini...akamsaidia bakharessa huyu wa sasa kuja dar na kuanza na biashara ya kutendeneza viatu.yaani fundi viatu, na nyerere huyu hakumgusa kwa sababu ya karume

si hivyo tu nyepesinyepesi za wakongwe wa siasa za mitaani wanasema Karume pia alimmwagia mihela
 
Allah amzidishie na ampe utulivu wa nafsi na ampe kingi zaidi ili asaidie masikini wengi kama anavyosaidia sasa na pia aendelee kutoa ajira kwa watanzania yaa Allah mlinde Said Salim Bakhresa na Shari na hasidi za walimwengu na fitna zao
 
Utajiri wa Mtanzania watikisa mabilionea Afrika

10 African Millionaires To Watch - Forbes

MFANYABIASHARA maarufu Tanzania, Salim Said Bakhresa ametajwa na Jarida la Forbes kuwa ni miongoni mwa matajiri kumi wenye utajiri mkubwa barani Afrika. Jarida hilo la kimataifa limetoa orodha ya mabilionea 40 kutoka Bara la Afrika mwaka huu na kuwataja wafanyabiashara 10, wanaoweza kuingia katika orodha hiyo ya mabilionea wakati wowote, akiwamo Bakhresa.

Yaani huyuhuyu mkwepa kodi ninayemfahamu?
 
kawapa ajira kina nani? hebu kaangalie katika Sea Bus, kuna mgogo, njoo Dodoma kuna Mgogo katika Ice-Cream zake na keki?

Company is managed by his sons.
Source: Forbes Magazine
km Kampuni zake wanaongoza
watoto hapo mm nitapataje ajira? Nikienda Zanzibar kweli mm mgogo tena mkisto nitapewa kazi na hao watoto wake.
Kumlinganisha na Mengi aliyemuajiri Farouk Karim ITV Zanzibar, ni tofauti
 
kawapa ajira kina nani? hebu kaangalie katika Sea Bus, kuna mgogo, njoo Dodoma kuna Mgogo katika Ice-Cream zake na keki?

Company is managed by his sons.
Source: Forbes Magazine
km Kampuni zake wanaongoza
watoto hapo mm nitapataje ajira? Nikienda Zanzibar kweli mm mgogo tena mkisto nitapewa kazi na hao watoto wake.
Kumlinganisha na Mengi aliyemuajiri Farouk Karim ITV Zanzibar, ni tofauti

Watoto wake ni wakurugenzi!wewe ajira unaijua ukurugenzi tu?vijana kibao nawafahamu wapo pale old nmc kiwandan kwenye kiwanda chake cha pp bags ni wabara wameajiriwa,watanzania tumeanza kuwa watu wa ajabu kwa ukabila,udin na ukanda,mnyonge mnyongen ongelea issue nyingine lakin sio ya kuajir wabara hapo umechemka
 
Watoto wake ni wakurugenzi!wewe ajira unaijua ukurugenzi tu?vijana kibao nawafahamu wapo pale old nmc kiwandan kwenye kiwanda chake cha pp bags ni wabara wameajiriwa,watanzania tumeanza kuwa watu wa ajabu kwa ukabila,udin na ukanda,mnyonge mnyongen ongelea issue nyingine lakin sio ya kuajir wabara hapo umechemka

Ukuli nayo kazi? nimekwambia fananisha Ukurugenzi na ukuli au kupata kazi huko Zanzibar, hapa kwetu waendesha baiskeli kibao na sio waajiriwa mpaka Ice-Cream zije fuatilia story yake kutoka kwa Karume, Ubaguzi kwa mwarabu haujifichi kwenye ajira hasa ukurugenzi na misaada
 
Ukuli nayo kazi? nimekwambia fananisha Ukurugenzi na ukuli au kupata kazi huko Zanzibar, hapa kwetu waendesha baiskeli kibao na sio waajiriwa mpaka Ice-Cream zije fuatilia story yake kutoka kwa Karume, Ubaguzi kwa mwarabu haujifichi kwenye ajira hasa ukurugenzi na misaada

Sio makuli ni ma operator na mafundi wa machine!kuhusu ilo la misaada kila mtu ana style yake ya kutoa wengine hawapendi publicity kama dini zinavyotaka au ww kuwapa walemavu pilau na soda ndo unaita misaada?hilo la uarabu simo kwa sababu mimi si mbaguzi,kuna watu wanasema "watu weusi ni wabaguzi kuliko weupe ila tu hatujapata opportunity"usitake niamini huo msemo!!kuhusu wanawe kuwa wakurugenz kwan huyo mheshimiwa uliyemsifia watoto wake sio wakurugenz?na yeye unajua asilimia ya watu alioajiri kutoka kwao?
 
10 African Millionaires To Watch

Said Salim Bakhresa
Nationality: Tanzanian
Source: Bakhresa Group
The extremely reclusive Tanzanian tycoon famously dropped out of school at the age of 14 to sell potato mix, then opened a small restaurant and then finally delved into grain milling. Today, his Bakhresa group employs over 2,000 people and is Tanzania’s largest conglomerate. The company’s interests include grain milling, confectionaries, frozen foods, beverages and packaging. The group’s Azam brand is the most popular manufacturer of chocolates and ice cream in the region. The $800 million (sales) group is also the largest producer of wheat flour in East Africa. Daily capacity: 2,100 metric tons. Company is managed by his sons.
Source: Forbes Magazine

Mbatata za urojo, aaah.
 
Hongera Bakhresa kwa kuelekea kututoa kimasomaso, Ninachofahamu bidhaa za vyakula havina kodi kubwa sana kulinganisha na bidhaa nyingine; hata wakati wa njaa kodi inaondolewa kabisa.
 
aliepewa kapewa naona kuna watu roho zinawauma........poleni
 
Kama ni kweli itabidi Hii nchi Iache Kutembeza Bakuli la saidia Baba!! Iweje mtu kama huyo asiwepo Kwenye List ya walipakodi prominent? Nilijitahidi Kumwombea Kijana wangu Ajira Huko ambaye alikuwa na all skills, akaambiwa Msahara ni TZS 80,000 Bila aibu Ilibidi nimwambie Kijana aache Kwani Hiyo ni dhuluma!!!! Viwanda na biashara za Huyu bwana zipo mitaa ya Mbagala kwa jitihada zake za kutafuta Cheap labour!! Hii ni aibu kwake kuwa kwenye hiyo list kwani Itabidi Title Iwe Mdhulumaji aliyeweza kuwa Tajiri mkubwa Affrica
 
Watoto wake ni wakurugenzi!wewe ajira unaijua ukurugenzi tu?vijana kibao nawafahamu wapo pale old nmc kiwandan kwenye kiwanda chake cha pp bags ni wabara wameajiriwa,watanzania tumeanza kuwa watu wa ajabu kwa ukabila,udin na ukanda,mnyonge mnyongen ongelea issue nyingine lakin sio ya kuajir wabara hapo umechemka

Ajira zake ni za watu wasioenda shule na huwa ni Mdini sana!! Count my word Ukienda Viwanda vya Mengi Ratio ya dini Huwa ni SIO KIGEZO depends on relevant Skills!! Nenda kwa Huyu Bwana ration ni 99% by 1% depends on religion and not skill!! Count my word!! But always if you dont count on skills means cheap labour!!
 
Back
Top Bottom