kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,298
- 12,600
London is better but home is the best. Njooni mjiunge na kituo cha TV cha Azam ili kutoa changamoto kwenye tasnia ya habari kitaifa na kimataifa. BBC, VOA, CCTV, DW ni vyombo vya habari vilivyoanzoshwa kama vyombo vya propaganda za kisiasa za mataifa yao. Leteni ujuzi na uzoefu wenu nyumbani muuchanganye na wa akina Tido, Hillary, Kaira. Ingawa hela huku sio nyingi kama huko lakini hakuna ubaguzi kama huko.