Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Huyu Bwana Salim Kikeke mtangazaji wa Radio ya BBC alipenda sana kuwa anakuja Tanzania akiwa OFF
Mara nyingi tumekuwa tukikutana pale Qatar uwanja wa ndege upande wa Transit wote tukiwa tunatokea inchi zingine ili kuja Tanzania,
Siku hizi matangazo yake ya BBC ndio yananifanya niulize maana nahisi amekuwa muoga kuja huku akiwa off,
Kama kuna waliomuona hivi karibuni mnambie kama anakuja
Wengi kwa matangazo kama ya kwake yanayohusu Tanzania lazima waogope kuja, maana matangazo kama ya kwake TV za ndani hapa hakuna yenye ubavu wa kutangaza.
Mara nyingi tumekuwa tukikutana pale Qatar uwanja wa ndege upande wa Transit wote tukiwa tunatokea inchi zingine ili kuja Tanzania,
Siku hizi matangazo yake ya BBC ndio yananifanya niulize maana nahisi amekuwa muoga kuja huku akiwa off,
Kama kuna waliomuona hivi karibuni mnambie kama anakuja
Wengi kwa matangazo kama ya kwake yanayohusu Tanzania lazima waogope kuja, maana matangazo kama ya kwake TV za ndani hapa hakuna yenye ubavu wa kutangaza.