Salim Kikeke anatangaza BBC (Dira ya dunia usiku) ni kipindi kinachojizolea mashabiki wengi sana wakati Shaka Ssali anatangaza VOA ( straight talk africa) kipindi ni kikongwe kidogo.Sasa naomba tupime ubora wao katika uwasilishaji na uchambuzi katika vipindi vyao,tusi base kwenye lugha mana kipindi kimoja kinaendeshwa kwa lugha ya kigeni wakati kipindi kingine ni cha kiswahili.Naomba kuwasilisha
Usiseme Shaka Ssali sema Dr. Shaka Ssali!