Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[PHP]
Hivi jamani kwa nini Watz tunakosa ustaarabu, mzee wetu huyu pamoja na
kulitumikia taifa letu karibu maisha yake yote, anaachwa na kunyanyasika
kwa kusimama katika foleni???.... hii imekaaje?
View attachment 16056
Jamaa anajipanga kuokoa jahazi la CCM 2015, hivyo ni lazima aige mfano wa JKN. CCM wamejifunza uchaguzi huu kuwa their days are numbered na 2015 wakiendekeza mambo ya umtandao wamekwisha. Ninajua kuwa mwaka huu watapeta kwa 52.3% kwenye urais drop of 28.7% na kwa trend hii 2015 watapata 26% wasipokuwa makini.
afadhali umesema kweli na ku support point point yangu....maana minjemba ya jf ilikuwa ikinirushia madongoFoleni ya Nyerere ilikua ya kizushi, mbele na nyuma yake walikua ni wana usalama wa taidfa tupu bila hata yeye mwenyewe kujua , alitaka sana awe ana jichanganya na wananchi (Yale yale ya Mwinyi mbaka kunaswa Kibao ,sababu ya ubishi ) walicho kifanya ni kumdanganya walio mzunguka ni wananchi wa kawaida lakini wote walikua ni Usalama wa taifa.
Hivi jamani kwa nini Watz tunakosa ustaarabu, mzee wetu huyu pamoja na
kulitumikia taifa letu karibu maisha yake yote, anaachwa na kunyanyasika
kwa kusimama katika foleni???.... hii imekaaje?
View attachment 16056
mbona mkwere hapangi foleni??
mbona huyu mama hakupanga foleni???View attachment 16057
hivi jamani kwa nini watz tunakosa ustaarabu, mzee wetu huyu pamoja na
kulitumikia taifa letu karibu maisha yake yote, anaachwa na kunyanyasika
kwa kusimama katika foleni???.... Hii imekaaje?
View attachment 16056