Wanahitajika vijana wa kuelimisha matumizi ya EFD kwa wafanyabiashara wenye TIN number pamoja na kuwahamasisha kununua mashine hizo kama ambavyo imeelekezwa na Serikali kupitia TRA.
Kwa kuwa zoezi la kuwaunganisha wafanyabiashara na mfumo huu ni endelevu na tayari Serikali imekwishaanza ukaguzi wa kuhakiki wafanyabiashara ambao hawajaaanza ktumia mashine za EFD, tukiwa kama kampuni iliyoidhinishwa na TRA ni jukumu letu kuhakikisha wafanyabiashara wananunua mashine hizi na kuanza kuzitumia kwa mujibu wa sheria.
Malipo ni kwa Commission, utalipwa kadiri unavyofanikiwa kuwaunganisha wafanyabiasha na mfumo wa matumizi ya EFD. Yaani kiwango fulani kwa kila mteja atakayenunua mashine ya EFD, watakaochaguliwa wataelezwa kiwango hicho na kupewa training.
Sifa
Elimu ya kidata cha NNE au Kidato cha SITA na umri kuanzia miaka 20.
Only for serious applicants.
Tuma maombi/CV na namba ya simu kwa e mail hii: etrsolutions@yahoo.com
Eleza ungependa kufanya mkoa gani kati ya Dar Es Salaam, Mwanza au Arusha.
Deadline 27/11/2014
Kwa kuwa zoezi la kuwaunganisha wafanyabiashara na mfumo huu ni endelevu na tayari Serikali imekwishaanza ukaguzi wa kuhakiki wafanyabiashara ambao hawajaaanza ktumia mashine za EFD, tukiwa kama kampuni iliyoidhinishwa na TRA ni jukumu letu kuhakikisha wafanyabiashara wananunua mashine hizi na kuanza kuzitumia kwa mujibu wa sheria.
Malipo ni kwa Commission, utalipwa kadiri unavyofanikiwa kuwaunganisha wafanyabiasha na mfumo wa matumizi ya EFD. Yaani kiwango fulani kwa kila mteja atakayenunua mashine ya EFD, watakaochaguliwa wataelezwa kiwango hicho na kupewa training.
Sifa
Elimu ya kidata cha NNE au Kidato cha SITA na umri kuanzia miaka 20.
Only for serious applicants.
Tuma maombi/CV na namba ya simu kwa e mail hii: etrsolutions@yahoo.com
Eleza ungependa kufanya mkoa gani kati ya Dar Es Salaam, Mwanza au Arusha.
Deadline 27/11/2014