Sales Representative

haki8

Member
Jun 7, 2016
26
35
Jaman wana jamvi nimepata dili la kusambaza bidhaa za afya but nimeambiwa nitakuwa nalipwa kwa commission kulingana na mauzo yangu..ushauli kwa mfan Upt katton ni laki mbili ambayo mm napata %10 kwa kila catton je iko poa wadau but hupewi usafili ni wewe sasa kutafuta masoko
 
Thanks mkuuu hata but wanavyo nambia usafili ni juu yangu for starting so natafuta Masoko na kuchukua order kutoka kwao but kuna product kama tatu kuu za kuwasambazia na kila product ni asilimia 10%
 
Najiuliza je nikiwasambazia catton 30 kwa mwezi wahata nisumbua ktk malipo yangu??nawaza sana
 
Back
Top Bottom