Nasikia alikuwa Mzungu sana,yaani mtu peace alifariki baada ya kuambiwa kazi zake hazina viwango .Alikuwa mshkaji wake sana meko toka enzi ya meko alivyokuwa waziri wa ujenzi wamepiga nae mchuzi sana .
Songoro amejenga vivuko nadhani vyote vya TEMESA ambayo ipo chini ya wizara ya ujenzi. Anyway RIP to him alishawahi kunitoa mpunga dola 1000 kuna kazi yake nilimfanyia hakuwa na roho mbaya kwenye mchuzi
Alikuwa anajua lobbying.Nasikia alikuwa Mzungu sana,yaani mtu peace alifariki baada ya kuambiwa kazi zake hazina viwango .
Huyo marehemu,alikuwa makini na budii kubwa sana ya kaziAlikuwa mshkaji wake sana meko toka enzi ya meko alivyokuwa waziri wa ujenzi wamepiga nae mchuzi sana .
Songoro amejenga vivuko nadhani vyote vya TEMESA ambayo ipo chini ya wizara ya ujenzi. Anyway RIP to him alishawahi kunitoa mpunga dola 1000 kuna kazi yake nilimfanyia hakuwa na roho mbaya kwenye mchuzi
Hapana,hiyo sio kweli kazi zake zote ni za viwango bali alielekezwa kukagua moja kati ya meli alizojenga ilionekana ina hitilafu,anajwnga meli kenya,tanzania na hata msumbijiNasikia alikuwa Mzungu sana,yaani mtu peace alifariki baada ya kuambiwa kazi zake hazina viwango .
Kila kiumbe hai kitakufaChangamoto ya upumuaji.