Mr Mayunga
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 313
- 40
Habar za asubuhi wana jamii,huku kwetu si salama!halmashauri yatu haijatuma pesa mpaka jana,maana yake inaweza ikatoka dec.Sijui kunatatizo gani,mazingira ya kufanyia kazi yenyewe ni magumu sanai.e.udini,ukabila,usisi vimetawala ,kazi yenyewe ni ngumu ila chakushangaza hela hazitoki kwa wakati.Lakini pia,hata pesa ikitoka benk ipo 30km hapa nilipo.Jaman,mnadhani kazi itafanyika kwa moyo mmoja,sijui!
hapa kwetu hali iko hivyo.
hapa kwetu hali iko hivyo.