ytara jr.
Member
- Feb 6, 2014
- 61
- 22
Kwa muda sasa nimekuwa nikitumia SSP kupata taarifa za salary. Ila hapa katikati kama miaka mi2 nikawa sijaingia hivyo nimesahau password. Nikiingia forget password sipati email ya kureset. Namba za simu walizoweka hazipokelewi. Msaada kama kuna njia mbadala.
View attachment 1872496
View attachment 1872496