Mhudumu wa ofisi 120,000/-mm ni graduate nimpengiwa kaz Wilayani
je kwa fresh graduate mwenye degree mshahara wake ni shiling ngapi??
Mhudumu wa ofisi 120,000/-mm ni graduate nimpengiwa kaz Wilayani
je kwa fresh graduate mwenye degree mshahara wake ni shiling ngapi??
Cheti chako ni feki zaidi au huna cheti kabisa. Hakuna "replacement" kwenye kupangiwa kituo cha kazi bali kuna "placement"Wewe hiyo kazi haikufai utakuwa na vyeti fake au umepitishwa mlango wa nyuma subiri kiama chenu chajaa yani hujui unatakiwa ulipwe ngapi mpaka replacement ?
Utajua salary yako ukishapewa barua ya ajira na mwajiri wako, tulia hata hawa hawajui.mm mkato ya loan board hayatonihusu uzuri chuo niliteseka bila mkopo mpaka na graduate
Wafanyakazi wa wilaya hawapo,wanatoka kwa Ras,ndio maana wapo wachache sanaeti mfanyakazi wa wilayani...kweli wewe bado dogo
Umejibu vizuri sana mkuu,wote waliomjibu walikuwa wana mchanganya tuUtajua salary yako ukishapewa barua ya ajira na mwajiri wako, tulia hata hawa hawajui.