Salary scale ya Client Officer at Advans Bank

Undisputed

Member
Nov 8, 2013
40
11
Wana jamvi naombeni kujuzwa kwa mwenye ufahamu wa mshahara wa Client Officer at Advans Bank. Kuna ndugu yangu kaniambia miezi mitatu ya mwanzo hawalipi mshahara wanalipa posho tu, je kuna ukweli katika hili? Naombeni msaada tafadhali.

Nawasilisha.
 
Hao wababaishaji sana,nilifanya nao kazi wakati nimemaliza chuo mwishowe nikaamua nisepe tu,kama watakua hawajabadilsha,basi take home yao ni 180k kwa mwezi.
 
Thanks Mkuu! kwa mshahara huo bora nimsaidie mama kusugua masufuria kwani utaishia kwenye nauli tu na kodi ya chumba
 
Thanks Mkuu! kwa mshahara huo bora nimsaidie mama kusugua masufuria kwani utaishia kwenye nauli tu na kodi ya chumba

Hapo ndipo vijana tunapokosea. Kazi ikipatikana wewe fanya ila uwe na malengo yako cha msingi usikubali kuingia mkataba mrefu. Hapo ndiyo sehemu ya kupatia ujuzi huku unaendelea kutafuta green pastures.
 
Ujuzi ninao wa kutosha tu ndugu yangu! kazi yenyewe ipo mwanza, biashara zangu zinaingiza zaidi ya hiyo sa c bora nimsaidie mama kusugua sufuria! mama ntilie inalipa atiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Hahahahahha!! Wewe kazi si mfanyaji? We ulijua kazi iko mwanza kwann uliomba? Kwanza ni wewe au mdogo wako? Sijaelewa!!

Anyway ukwel n huu, probation utakayolipwa posho na si mshahara miezi mitatu! Then probation inaanza miezi sita, hapo unatakiwa kuzalisha si chini ya 80 milioni. Hakuna insuarance na kodi na NSSF unakatwa na bonus inakatwa kodi. Take home kama sh 360000 wakati huu.

Unaweza kufukuzwa kazi saa yeyote kwa kosa dogo kama la kumuuomba mfaransa aongee kingereza katika kikao.
La maana kazi, ukivumilia utakula kidogo maana benki inakua na kuna opportunities sana.
 
Hahahahahha!! Wewe kazi si mfanyaji? We ulijua kazi iko mwanza kwann uliomba? Kwanza ni wewe au mdogo wako? Sijaelewa!!

Anyway ukwel n huu, probation utakayolipwa posho na si mshahara miezi mitatu! Then probation inaanza miezi sita, hapo unatakiwa kuzalisha si chini ya 80 milioni. Hakuna insuarance na kodi na NSSF unakatwa na bonus inakatwa kodi. Take home kama sh 360000 wakati huu.

Unaweza kufukuzwa kazi saa yeyote kwa kosa dogo kama la kumuuomba mfaransa aongee kingereza katika kikao.
La maana kazi, ukivumilia utakula kidogo maana benki inakua na kuna opportunities sana.
duh!mkuu 360,000/= duh 80,000,000/= kwa muda huo si hatari hii mkuu duh!
 
Wana jamvi naombeni kujuzwa kwa mwenye ufahamu wa mshahara wa Client Officer at Advans Bank. Kuna ndugu yangu kaniambia miezi mitatu ya mwanzo hawalipi mshahara wanalipa posho tu, je kuna ukweli katika hili? Naombeni msaada tafadhali.

Nawasilisha.

mkuu umeitwa nn?binafsi nimeitwa kwa hiyo post lakini mdau hapa kanitisha!duh 360,000/= ngoja nikatafute shule ya kufundisha!
 
Siku hizi kila mwairi anafikiria kuwabana employees wake ili abane matumizi na hatimaye atengeneze super profit.
 
Wadau vp kuhusu Client Assistant washaita hawa jamaa?...naomba kujurishwa kama kuna mtu aliomba hii nafasi na kama kuna taarifa zozote...any info wana jf.
 
Hahahahahha!! Wewe kazi si mfanyaji? We ulijua kazi iko mwanza kwann uliomba? Kwanza ni wewe au mdogo wako? Sijaelewa!!

Anyway ukwel n huu, probation utakayolipwa posho na si mshahara miezi mitatu! Then probation inaanza miezi sita, hapo unatakiwa kuzalisha si chini ya 80 milioni. Hakuna insuarance na kodi na NSSF unakatwa na bonus inakatwa kodi. Take home kama sh 360000 wakati huu.

Unaweza kufukuzwa kazi saa yeyote kwa kosa dogo kama la kumuuomba mfaransa aongee kingereza katika kikao.
La maana kazi, ukivumilia utakula kidogo maana benki inakua na kuna opportunities sana.


Kiongozi - Nimeomba ya Snr DB Admninistrator kwa hiyo position wanaweza kuwa wanalipa ngapi mkuu
 
Back
Top Bottom