mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,163
- 787
jamani mbona ongezeko hola, maisha yatakuwa hovyo sana
mshahara umetoka mchana huu
mshahara umetoka mchana huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa mkuuTumeshawachoka sasa na nyie mshahara mdogo kila siku acheni kazi mje kitaa mjue nini maana ya kazi
Hahaha acha tu mkuu..wangejuaTumeshawachoka sasa na nyie mshahara mdogo kila siku acheni kazi mje kitaa mjue nini maana ya kazi
Walalamishi kweli shukuru hicho hicho kidogo kitaa kugumujamani mbona ongezeko hola, maisha yatakuwa hovyo sana
mshahara umetoka mchana huu
Acha wewe salary always less all the time is a matter of you to plan you expenses. In case of any increment the life style also changeTumeshawachoka sasa na nyie mshahara mdogo kila siku acheni kazi mje kitaa mjue nini maana ya kazi
jamani mbona ongezeko hola, maisha yatakuwa hovyo sana
Tumeshawachoka sasa na nyie mshahara mdogo kila siku acheni kazi mje kitaa mjue nini maana ya kazi
Shukuru kwanza..ungechelewa ungepiga kelele kibaojamani mbona ongezeko hola, maisha yatakuwa hovyo sana
mshahara umetoka mchana huu
mkuu nanyi wote tunawaombea mpate lkn hakuna maana mby ktk hili ni kuhabarishana tuKwanza mshukuru sikuhizi mnawahishiwa mshahara, je mnakunbuka zamani mlivyo kuwa mnachelwweshewa hadi tare 5 au hata 7. Kwa sasa ajira ngumu bora ushukuru uko kazini, kama hutaki acha wengine wachukue kazi hiyo.