Salamu

JS

JF-Expert Member
Sep 29, 2009
2,064
497
Wapwazz na BInamuzz hamjambo za asubuhi???
Mlilalaje??? Mmeamkaje??? Watoto wenu hawajambo??? Waume na wake zenu hawajambo??? Nimewamiss sana ndugu zanguni

Mie mzima kiasi nashangaa asubuhi yote hii nimepata kwikwi nina miaka sijapata kinanipa shida kweli hata kutype inasimama kwa sekunde kwikwi ikiija lol

Hakuna anayeoa/kuolewa siku za karibuni tena?? Nahitaji kuwa mhasibu mkuu kwa mara nyingine nimejikuta ninamiss kushika hela nyingi ambazi si zangu tehtehtehteh
icon10.gif


Muwe na siku njema na kazi njema.
JS
 
una vituko wewe....nackia bht ndio anaefuta, ngoja nidodose zaidi! lol
 
Wapwazz na BInamuzz hamjambo za asubuhi???
Mlilalaje??? Mmeamkaje??? Watoto wenu hawajambo??? Waume na wake zenu hawajambo??? Nimewamiss sana ndugu zanguni

Mie mzima kiasi nashangaa asubuhi yote hii nimepata kwikwi nina miaka sijapata kinanipa shida kweli hata kutype inasimama kwa sekunde kwikwi ikiija lol

Hakuna anayeoa/kuolewa siku za karibuni tena?? Nahitaji kuwa mhasibu mkuu kwa mara nyingine nimejikuta ninamiss kushika hela nyingi ambazi si zangu tehtehtehteh
icon10.gif


Muwe na siku njema na kazi njema.
JS

salama mama......................

kuna vacancy kule bagamoyo alikotoka mr. wage, hebu jaribu ku apply........... pole na kwikwi tafuta hela ukipata na kwikwi itaisha...............
 
Wapwazz na BInamuzz hamjambo za asubuhi???
Mlilalaje??? Mmeamkaje??? Watoto wenu hawajambo??? Waume na wake zenu hawajambo??? Nimewamiss sana ndugu zanguni

Mie mzima kiasi nashangaa asubuhi yote hii nimepata kwikwi nina miaka sijapata kinanipa shida kweli hata kutype inasimama kwa sekunde kwikwi ikiija lol

Hakuna anayeoa/kuolewa siku za karibuni tena?? Nahitaji kuwa mhasibu mkuu kwa mara nyingine nimejikuta ninamiss kushika hela nyingi ambazi si zangu tehtehtehteh
icon10.gif


Muwe na siku njema na kazi njema.
JS

Ngoja nicheki na Fidel80.
Will call you shortly.
Nami nimekumiss kweli. Leo vipi nikutafute?
 
Miss u too ngoja nitafute mchumba nikipata tu utashika mijihela c vijisent sawa?
 
Nimeamka salama mpwa, pole kwa yote yanayokusibu, lakini nafikiri 2012 sio mbali maana kuna mjamaa anataka kujitosa wa humu humu JF, he will consider you as his treasurer, dont worry sisy.
 
Wapwazz na BInamuzz hamjambo za asubuhi???
Mlilalaje??? Mmeamkaje??? Watoto wenu hawajambo??? Waume na wake zenu hawajambo??? Nimewamiss sana ndugu zanguni

Mie mzima kiasi nashangaa asubuhi yote hii nimepata kwikwi nina miaka sijapata kinanipa shida kweli hata kutype inasimama kwa sekunde kwikwi ikiija lol

Hakuna anayeoa/kuolewa siku za karibuni tena?? Nahitaji kuwa mhasibu mkuu kwa mara nyingine nimejikuta ninamiss kushika hela nyingi ambazi si zangu tehtehtehteh
icon10.gif


Muwe na siku njema na kazi njema.
JS
Mie naibuku nafasi ya uhasibu kwenye arusi yako.Naona unafaa kuwa unayefuatia.
 
We JS umetuona leo? au umemis kushika mijihela ya watu. Usijali tuko kwenye mkakati wa kumfunda Fidel aoe by July this year lol!
 
Js bwana tunapeana zamu kila siku wewe tu unashika kama wahasibu wa benk na kumbe si zao
Next wedding ya fidel80 mhasibu mkuu mie ..
 
Wapwazz na BInamuzz hamjambo za asubuhi???
Mlilalaje??? Mmeamkaje??? Watoto wenu hawajambo??? Waume na wake zenu hawajambo??? Nimewamiss sana ndugu zanguni

Mie mzima kiasi nashangaa asubuhi yote hii nimepata kwikwi nina miaka sijapata kinanipa shida kweli hata kutype inasimama kwa sekunde kwikwi ikiija lol

Hakuna anayeoa/kuolewa siku za karibuni tena?? Nahitaji kuwa mhasibu mkuu kwa mara nyingine nimejikuta ninamiss kushika hela nyingi ambazi si zangu tehtehtehteh
icon10.gif


Muwe na siku njema na kazi njema.
JS
...nafikiria kuongeza mke,lol!:D:D
 
una vituko wewe....nackia bht ndio anaefuta, ngoja nidodose zaidi! lol

mama ushauri.....ujue hujaja kufanya kazi yako vizuri.........am waiting ila angalia hapa chini

Miss u too ngoja nitafute mchumba nikipata tu utashika mijihela c vijisent sawa?

twiniushka mchumba si AK-47 au umemtole nje...........
 
hakuwa mchumba yule Twinuska!pale nilipita tu dia ,ah ah ah,c men uwa wanasema hivyo?na mm nilipita tu hana lolote
 
hakuwa mchumba yule Twinuska!pale nilipita tu dia ,ah ah ah,c men uwa wanasema hivyo?na mm nilipita tu hana lolote

jino kwa jino sio
sasa JS anataka kushika mahela......
 
hakuwa mchumba yule Twinuska!pale nilipita tu dia ,ah ah ah,c men uwa wanasema hivyo?na mm nilipita tu hana lolote

Kwa hiyo umemchezea tu AK-47 na kumwacha, umemharibia maisha yake! :)
icon10.gif
 
twiniushka mchumba si AK-47 au umemtole nje...........

dah, yaani nshukuru kwa kukumbuka kunipigia debe...............unajua tangu uniambie mkali mie nilijikalia pembeni nakusubiri wewe pekee uniunganishie................ thanks, nafikiri safari hii uko kikazi zaidi na atakubali.............. please facilitate.............

hakuwa mchumba yule Twinuska!pale nilipita tu dia ,ah ah ah,c men uwa wanasema hivyo?na mm nilipita tu hana lolote

jamani mchumba wangu mbona hvyo tena mpenzi?????????? mi mbona nilishaandaaa ng'mbe kabisaa?????????????/ kwani imekuwaje tena.............. sema basi kama nimekukosea unisamehe.................. tuendeleezze tulipoachia............. mi mwenzio sijiwezi kabisa mamiiiiiiiiiii................... please.............
 
Kwa hiyo umemchezea tu AK-47 na kumwacha, umemharibia maisha yake! :)
icon10.gif

tafadhari mkulu tuheshimiane, hajaniacha, yaani mnavyotamani aniache muanze kusarandia..............looh.......... mlie tu.............. tuandalieni michango kabisa..........
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom