massoyevod
New Member
- Oct 4, 2011
- 3
- 0
SALAMU KWA WOTE WANA JAMIIFORUM.
Nafurahi sana kuwepo kwenye mtandao huu wa kuweza kupeana habari za kuelimisha,kuhurahisha na za kimaendeleo kwa wanajamii wote hususani watanzania wote.Naomba mnipokee kwani nami napenda sana mawasiliano yenye kuleta mwamko katika kukabiliana na changamoto za kimaisha.Aksanteni
Nafurahi sana kuwepo kwenye mtandao huu wa kuweza kupeana habari za kuelimisha,kuhurahisha na za kimaendeleo kwa wanajamii wote hususani watanzania wote.Naomba mnipokee kwani nami napenda sana mawasiliano yenye kuleta mwamko katika kukabiliana na changamoto za kimaisha.Aksanteni