Salamu za Uhuru: Rais Magufuli asamehe wafungwa 4,477. Aagiza pesa za sherehe ya Uhuru zijenge hospitali Dodoma. Awataka watanzania wachape kazi

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
35,034
28,201
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli atatoa salamu za kumbukumbu ya miaka 57 ya Uhuru kuanzia saa 9:00 Alasiri leo Desemba 07, 2018. Fuatilia matangazo kupitia Televisheni,Radio na mitandao ya kijamii.

Source:Msemaji wa Serikali

---
"Nimeagiza fedha zilizokuwa zitumike kwa ajili ya uhuru, zitumike kujenga hospitali kubwa mjini Dodoma itakayoitwa Uhuru hospital" - Rais Magufuli

"Ninatoa msamaha kwa Wafungwa 4477 kwenye kumbukumbu za maadhimisho haya ya miaka 57 ya Uhuru" - Rais Magufuli

"Nawatakia Watanzania wote tusherehekee miaka 57 ya Uhuru kwa amani na furaha tele. Tuendelee kuchapa kazi, tuendelee kulijenga Taifa letu" - Rais Magufuli
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli atatoa salamu za kumbukumbu ya miaka 57 ya Uhuru kuanzia saa 9:00 Alasiri leo Desemba 07, 2018. Fuatilia matangazo kupitia Televisheni,Radio na mitandao ya kijamii.

Source:Msemaji wa Serikali
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom