jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli atatoa salamu za kumbukumbu ya miaka 57 ya Uhuru kuanzia saa 9:00 Alasiri leo Desemba 07, 2018. Fuatilia matangazo kupitia Televisheni,Radio na mitandao ya kijamii.
Source:Msemaji wa Serikali
---
"Nimeagiza fedha zilizokuwa zitumike kwa ajili ya uhuru, zitumike kujenga hospitali kubwa mjini Dodoma itakayoitwa Uhuru hospital" - Rais Magufuli
"Ninatoa msamaha kwa Wafungwa 4477 kwenye kumbukumbu za maadhimisho haya ya miaka 57 ya Uhuru" - Rais Magufuli
"Nawatakia Watanzania wote tusherehekee miaka 57 ya Uhuru kwa amani na furaha tele. Tuendelee kuchapa kazi, tuendelee kulijenga Taifa letu" - Rais Magufuli
Source:Msemaji wa Serikali
---
"Nimeagiza fedha zilizokuwa zitumike kwa ajili ya uhuru, zitumike kujenga hospitali kubwa mjini Dodoma itakayoitwa Uhuru hospital" - Rais Magufuli
"Ninatoa msamaha kwa Wafungwa 4477 kwenye kumbukumbu za maadhimisho haya ya miaka 57 ya Uhuru" - Rais Magufuli
"Nawatakia Watanzania wote tusherehekee miaka 57 ya Uhuru kwa amani na furaha tele. Tuendelee kuchapa kazi, tuendelee kulijenga Taifa letu" - Rais Magufuli