Salamu za Mshikamano kutoka kwa M. M. Mwanakijiji

Easier said than done, isn't it? Your (and MKJJ's) words and ideas may sound great on paper but the are in practice as worthless as Nyerere and his Ujamaa political ideology. Hao Wasomi wengi wao wana lengo moja tu: kuiacha nchi na kwenda Ughaibuni kwenye mazingira mazuri zaidi ya maisha. Kwa maneno mengine, usomi ni kama "means to an end". Kama kweli moo makini na mawazo na maneno yenu, basi na nyie mngefunga mizigo huko mlipo Ulaya na Marekani na kurudi nyumbani mkasote nao bega bega hao Wasomi na kuyafanya kwa vitendo hayo mnayohubiri.

Kamanyola,
Don't give up my brother, hata Rome haikujengwa siku moja. By the way, tupo hapa hapa bongo tunapambana na kuchakarika, wee katiza mitaa ya Yombo-Buza tutakutana.Hatuongei haya tukiwa Uropa au America.

Back to the point: -If Tanzanians work hard will achieve and if they sow, they will surely reap. Salam hizi za mshikamano ni mbegu zinazopandwa kwenye udongo na zikitunzwa vizuri zitazaa matunda ambayo ni maendeleo. Tusiende mbali kujilinganisha na Ulaya ebu jaribu kutembelea Windhoek, Gaborone na hata Luanda, utaona tofauti yao na sisi tuliopata uhuru miaka ya 60. Am sure Tanzanians would accomplish many more things if they do not think of them as impossible.
"



Ideas are a capital that bears interest only in the hands of Talent
"-Antoine De Revarol
 
Good job admin! I stay on the look out to make sure he doesn't back qith another name. I've got his number and no matter what name he uses I'll know. No where to run no where to hide baby....yeeeeaaaaahhhhhh
 
Mugo"The Great";103795 said:
Who is the government? Katibu Kata, Katibu Tarafa, mkuu wa wilaya.. ...Wote ni Serikali. Kinacho-lack ni uwajibikaji katika grass-roots level. Kama Headmaster si responsible, mabwana afya wako wapi?

Anyway the Bottom line is, mshikamano wa wasomi katika kuleta mabadiliko katika nchi ni muhimu. Wasomi wana exposure kubwa juu ya nini kinaendelea duniani na wengi wanatokea rural areas. Hivyo ni rahisi kufikisha Ujumbe kwa urahisi juu ya mifumo ya kisiasa, kiuchumi n.k. Suala hili lisichukuliwe kama up-rising kama baadhi ya watu wanavyotaka tuamini, bali liwe changamoto kwa wasomi katika kuwafanya watanzania wengi wawe well informed juu ya policies, strategies ili waweze kufanya maamuzi sahihi kwa wakati muafaka.

What does wasomi have to do with individual citizen. Vitu kama choo sidhani ni responsible ya serikali, this is responsibility ya wanafunzi na wazazi wao. Kwani hata nchi zilizoendelea public school nyingi zinaongozwa na community. Tatizo lilopo kwa watanzania we are naive, and iresponsible about everything, we like it's your fault game.

Wewe angalia mfano wa shule ya msingi inaongozwa na wananchi waliojitolea kuleta mabadiliko, na shule inayotegemea serikali kubadilisha. I always cry kuhusu kuipunguzia serikali kuu majukumu.
 
Kamanyora bila jasho ana hoja, Mkjj ana hoja na mgomo wa wanafunzi pale Azaboyz ulikuwa halali kama "ka-sungura" ka EL, kalikochinjwa na Sheikh She-huna.

Tatizo hapa ni uhuni, tena nimekuwa na ufananisha na ule wa GOP na Dems... issue imekuwa ni kushinda na sio kupata ufumbuzi wa matatizo. Ktk hali halisi ya kiuchumi Bongo, lazima serikali iwe imeshika hatamu ktk masuala ya elimu kuanzia msingi mpaka vyuoni!! La sivyo na elimu nayo itaporomoka kabisa na kuwa masikini wa kila kitu.

Watu hapa wana-distort fwacts, Public schools ktk Amerika zinaendeshwa na property taxes, States na Uncle Sam (federal gov) wameshika rungu na wanaangalia kwa ukaribu. Sasa hiyo mifano ya nanilii sijui inatoka wapi? Mie nimesoma Tambaza form one, ada enzi hizo ilikuwa Shs 1500 kwa mwaka. Nikahama kwenda boarding school flani, huko ada ilikuwa 2500 kwa mwaka. Tambaza tulikuwa tunakula lunch bureeee, vyoo vilikuwepo tena visafi na kule boarding alikadhalika... sasa ni chepi kilichobadilika kiasi kwamba zoezi lisibaki lile lile? Mapesa ya kununua SUVs, kujenga mahekalu, kwenda nje kutibiwa, watoto wao kwenye academies na safari zisokwisha zipo!! Inakuwaje wanakosa pesa ya kuendesha shule tena mjini Darisalama? Argument ya kukusanya ada ili shule iendeshwe ni ya kifedhuli (angalia facts za kiuchumi).

Serikali eeeeeenh kusanya kodi na endesha shule kwa ari mpya na nguvu mpya.
 
Kamanyora bila jasho ana hoja, Mkjj ana hoja na mgomo wa wanafunzi pale Azaboyz ulikuwa halali kama "ka-sungura" ka EL, kalikochinjwa na Sheikh She-huna.
Tatizo hapa ni uhuni, tena nimekuwa na ufananisha na ule wa GOP na Dems.....issue imekuwa ni kushinda na sio kupata ufumbuzi wa matatizo. Ktk hali halisi ya kiuchumi Bongo, lazima serikali iwe imeshika hatamu ktk masuala ya elimu kuanzia msingi mpaka vyuoni!!. La sivyo na elimu nayo itaporomoka kabisa na kuwa masikini wa kila kitu.
Watu hapa wana-distort fwacts, Public schools ktk amerika zinaendeshwa na property taxes, States na Uncle Sam(federal gov) wameshika rungu na wanaangalia kwa ukaribu. Sasa hiyo mifano ya nanilii sijui inatoka wapi?. Mie nimesoma Tambaza form one, ada enzi hizo ilikuwa Shs 1500 kwa mwaka. Nikahama kwenda boarding school flani, huko ada ilikuwa 2500 kwa mwaka. Tambaza tulikuwa tunakula lunch bureeee, vyoo vilikuwepo tena visafi na kule boarding alikadhalika.........sasa ni chepi kilichobadilika kiasi kwamba zoezi lisibaki lile lile?. Mapesa ya kununua SUVs, kujenga mahekalu, kwenda nje kutibiwa, watoto wao kwenye academies na safari zisokwisha zipo!! inakuwaje wanakosa pesa ya kuendesha shule tena mjini Darisalama?.Argument ya kukusanya ada ili shule iendeshwe ni ya kifedhuli(angalia facts za kiuchumi).
Serikali eeeeeenh kusanya kodi na endesha shule kwa ari mpya na nguvu mpya.


Can you do the Math, ulikuwa unalipa 2500, unakula na kusoma. Unadhani pesa za kufund hiyo project zilikuwa zinatoka wapi? Adhina walikuwa wanatumia pesa nyingi kufund kitu ambacho wananchi wanaweza kukiendesha.

Unaposema US system, Federal government inafund public school kwa asilimia ndogo sana, state ndio inazifund hizi shule. What happened ni kwamba kila nyumba kwenye that particular neigbour inalipa school tax which can be pain in the batt. Lakini guess what people are willing to pay sababu watoto wao waende shule. Vile vile kuna school bond, ambazo ni municipal bonds hizi zinakwenda direct kwenye particular shule.

Okay, huwezi compare US and Tanzania kiuchumi, tatizo la Tanzania ni unique sababu ya other factors kama uchumi and so fourth. Lakini let look on reality, ni wazazi wangapi amabaa watoto wao wanakwenda shule za serikali wako willing kwenda pale shuleni hata weekend kusafisha mazingira, jee hili ni jukumu la serikali?

Mimi nimesoma Azania six years, personal mzazi wangu hajawai kuja hata siku moja kwenye vikao vya wazazi, so what you expect serikali will do? If wazazi try to take action then let see what will central government assist. I don't say serikali need to stay on the side, what i'm saing is citizen need participate on daily activity za shule.

Hakuna sababu yoyote ya msingi, kuhusu swala la vyoo na serikali, please let us step on the table and bring critical analysis lather the your fault game
 
Can you do the Math, ulikuwa unalipa 2500, unakula na kusoma. Unadhani pesa za kufund hiyo project zilikuwa zinatoka wapi? Adhina walikuwa wanatumia pesa nyingi kufund kitu ambacho wananchi wanaweza kukiendesha.

Unaposema US system, Federal government inafund public school kwa asilimia ndogo sana, state ndio inazifund hizi shule. What happened ni kwamba kila nyumba kwenye that particular neigbour inalipa school tax which can be pain in the batt. Lakini guess what people are willing to pay sababu watoto wao waende shule. Vile vile kuna school bond, ambazo ni municipal bonds hizi zinakwenda direct kwenye particular shule.

Okay, huwezi compare US and Tanzania kiuchumi, tatizo la Tanzania ni unique sababu ya other factors kama uchumi and so fourth. Lakini let look on reality, ni wazazi wangapi amabaa watoto wao wanakwenda shule za serikali wako willing kwenda pale shuleni hata weekend kusafisha mazingira, jee hili ni jukumu la serikali?

Mimi nimesoma Azania six years, personal mzazi wangu hajawai kuja hata siku moja kwenye vikao vya wazazi, so what you expect serikali will do? If wazazi try to take action then let see what will central government assist. I don't say serikali need to stay on the side, what i'm saing is citizen need participate on daily activity za shule.

Hakuna sababu yoyote ya msingi, kuhusu swala la vyoo na serikali, please let us step on the table and bring critical analysis lather the your fault game

Hayo mambo ya "can you do the math" ni ya kitoto. Usipotoshe watu hapa, ni property taxes ndio zinalipa shule.........kwani "no child left behind" na Vouchers za Joji Kichaka nani aliyezikandamiza? States? Nope, ni Senators na Congress ppl in Washington. Hiyo mifano yako ya enzi zako pale Azania ndio argument yangu, kama wewe ulisoma kwanini wengine wasisome? Darisalama inaongoza kwa ukusanyaji wa kodi wa kila aina, kwanini isiwe na shule bora?. Otherwise endelea ku-qn uwezo wangu wa kufanya math, nahisi una ROHO mbaya ya kibepari na kifisadi.

Haveaniceday.
 
Hayo mambo ya "can you do the math" ni ya kitoto. Usipotoshe watu hapa, ni property taxes ndio zinalipa shule.........kwani "no child left behind" na Vouchers za Joji Kichaka nani aliyezikandamiza? States? Nope, ni Senators na Congress ppl in Washington!!!!. Hiyo mifano yako ya enzi zako pale Azania ndio argument yangu, kama wewe ulisoma kwanini wengine wasisome? Darisalama inaongoza kwa ukusanyaji wa kodi wa kila aina, kwanini isiwe na shule bora?. Otherwise endelea ku-qn uwezo wangu wa kufanya math, nahisi una ROHO mbaya ya kibepari na kifisadi.
Haveaniceday.

Let me clear you a little bit, sijakataa kwamba property tax haisaidi shule, nilichokwambia sio 100% ya property tax inakwenda kwenye shule. Kwenye property tax kuna portion inaitwa school tax hiyo ndio inakwenda shule.Kingine no child left behind is a failure

Kusoma kwangu bure doesn't mean it was fair, was it stupid? Yes. I personal niko very motivated kurudi Azania na kupay back fadhila. Dar inakusanya kodi kubwa, lakini what u said kuhusu matatizo ndani ya dar. I know kwamba kodi inaliwa some where in the line, lakini let assume kwamba uongozi safi ukiingia and 90% ya kodi ikakusanywa, still hakutokuwa na uwezo wa kuoparate. Sababu kwanza fahamu kodi haifund individual city, bali inakusanywa then combined with kodi za miji mingine, kisha inasplitiwa katika budget. Sasa usijisahau kwamba dar haingozwi kama state of Texas au Alabama, inaongozwa na central government budget and jiji halina any source of fund.
 
sasa mtanganyika, pamoja na kula hiyo kodi, kweli tunashindwa hata kutengeneza vyoo? hivi kweli Dar kuna matatizo ya maji kiasi cha mtu kushindwa kutumia zila Sim Tank ambazo nasikia "ni furaha ya mamilioni ya Watanzania?"... kweli tunashindwa kuhakikisha jiko ni zuri, la kisasa, na safi?
 
"Lakini let look on reality, ni wazazi wangapi amabaa watoto wao wanakwenda shule za serikali wako willing kwenda pale shuleni hata weekend kusafisha mazingira, jee hili ni jukumu la serikali?"

Mzazi yupo Chumbageni Tanga, Shule iko Dsm, labda tuwe na treni za Umeme wa jua. Ukweli ni kuwa system ime-deteriorate to the extent watu hawawajibiki tena. Labda tunashindwa kuelewa definition ya Serikali. Katibu Kata akisema ni Serikali imesema, Waziri akitoa tamko, bado ni serikali imesema. Mabwana Afya hawako chini ya Serikali? Wanafanya kazi ipi? Serikali haiwezi kukwepa lawama hizi, kwa sababu kupitia chama Tawala, inatengeneza Policy na Strategy za ku-implement. Sera zikiwa mbovu, unadhani nani alaumiwe? Ndiyo maana kila sehemu kuna kiongozi mwenye dhamana ya kufanya coordination. Hivyo kwa hali kama hii ya Azania,je tuelewe kuwa Serikali imeshindwa kuweka utaratibu ulio bora wa kuendesha shule?

That's why kuna WITO unaowataka Watanzania na hasa wasomi waipe Changamoto Serikali.
 
Admin,

Kama umemfungia kamanyola kwa posts zake humu umemuonea. Alikuwa ana toa changamoto ya kupoints ku flow.

Mrudishe tafadhali ninahitaji kujadiliana naye, huwa napendaga watu wanaonipinga na sio YES SIR type, so far hapa naona hajatukana!

Nyani Ngabu, nakumbukia wewe na Njabu Ngabu mlivyokuwa mkimshambulia Patel kule, mlikuwa mnaitana son na Baba! LOL tumetoka mbali sana. Nini kimemsibu lakini "baba" yako mpaka amebadilika?
 
Admin,

Kama umemfungia kamanyola kwa posts zake humu umemuonea. Alikuwa ana toa changamoto ya kupoints ku flow.

Mrudishe tafadhali ninahitaji kujadiliana naye, huwa napendaga watu wanaonipinga na sio YES SIR type, so far hapa naona hajatukana!

Nyani Ngabu, nakumbukia wewe na Njabu Ngabu mlivyokuwa mkimshambulia Patel kule, mlikuwa mnaitana son na Baba! LOL tumetoka mbali sana. Nini kimemsibu lakini "baba" yako mpaka amebadilika?

Mzee FD naona umemiss alichokisema Kamanyola. Tumeshuhudia matusi hapa lakini aliyoyaandika hapa jana ilikuwa ni kilele cha matusi, siyo posting za kawaida ambapo watu wanakejeliana na kurushiana vijembe, huyo jamaa alimwaga matusi ya nguoni ambayo kama yangeweza kuwekwa kwenye radio, spika zingepasuka..!
 
No Mwawado. Raj Patel sio VRS/Jokofu Kiwete/ Kamanyola. VRS ni Njabu Ngabu aka Brocolli kutoka bcstimes.com...ni kubwa jinga fulani hivi aishie Sweden. Jamaa ana miaka 40 lakini ana behave kama kasichana kalikovunja ungo. Moderators niachieni nimshikishe adabu huyu

Nakuaminia. Nakumbuka ulivyomwendesha puta RP enzi zile..
 
Mwana Kijiji.
Hebu nishawishi kwa nini serikali kuu ilaumiwe kwa matatizo ya vyoo pale Azania?

Mugo,
Azania ni day school na iko specific kwa wakazi wa dar es salaam, sasa kama umetokea Mwanza nadhani ili uwe part of Azania lazima uwe na gurdian DSM.

I didnt say kwamba serikali ya JK ni timamu, nakubaliana na wewe 100% kwamba serikali ya JK ni kichwa cha mwenda wazimu. Ninacho pingana na wewe ni kwanini serikali itengeze kitu kidogo kama choo. Mwalim alisema pale mwanza " Kabla ujafikiria kununua gari, jenga kwanza choo". Nadhani kitu kama choo ni source ya afya bora, hivyo basi kila mzazi anajukumu la kumake sure mtoto wake anapata elimu bora, na afya njema.
 
Admin,

Kama umemfungia kamanyola kwa posts zake humu umemuonea. Alikuwa ana toa changamoto ya kupoints ku flow.

Mrudishe tafadhali ninahitaji kujadiliana naye, huwa napendaga watu wanaonipinga na sio YES SIR type, so far hapa naona hajatukana!

Nyani Ngabu, nakumbukia wewe na Njabu Ngabu mlivyokuwa mkimshambulia Patel kule, mlikuwa mnaitana son na Baba! LOL tumetoka mbali sana. Nini kimemsibu lakini "baba" yako mpaka amebadilika?

Kwa kweli sijui kilichomsibu. Amebadilika sana siku hizi. Nadhani ana machungu sana na hii forum ni sehemu ya yeye kuja kutolea hasira zake. Ndio maisha hayo kaka...leo yeye na kesho mimi au wewe.
 
Mwana Kijiji.
Hebu nishawishi kwa nini serikali kuu ilaumiwe kwa matatizo ya vyoo pale Azania?

a. Ukaguzi wa Afya na kuhakikisha wananchi wanaishi katika mazingira salama ni jukumu la serikali. Kusafisha mazingira hayo bila ya shaka kutegemea na ukubwa wake au uzito wake ni jukumu la kuanzia mtu binafsi hadi taasisi nzima. Hivi bado tunao mabwana/mabibi afya? Leo hii ukienda sokoni na kukuta soko chafu hatuwezi kusema lawama zote ziwaendee wachuuzi;

b. Halafu sijasema Serikali Kuu ila kuna chombo ambacho kinawajibika kwa hizi shule. Kama shule hizi zimesajiliwa zinaweza vipi kuendelea na usajili wao kama zinahatarisha mazingira ya wanafunzi? Hivyo serikali inaweza kwa tishio la kufuta usajili wa shule kulazimisha shule to meet certain health standards.

c. Kwenye shule ambazo zinapata fedha kutoka serikalini, ni wajibu wa serikali kuhakikisha kuwa fedha zile zinatumika ipasavyo. Kama serikali haitoi fedha za mambo ya usafi na afya shuleni, shule hizo zinagharimia vipi sehemu hizo? Na kama inatoa je inahakikisha vipi kuwa shule zinatumia fedha hizo ipasavyo?

d. Kama serikali ingehakikisha kuna maji yanatiririka hapo chuoni na jiko na madarasa vingekuwa vichafu basi jukumu lingeuangukia zaidi uongozi wa shule kuliko serikali. Hata hivyo serikali na wizara husika hazijahakikisha kuwa kuna mazi ya kutosha kwenye eneo la mamia ya wanafunzi. Hata kama mmoja mmoja anaweza kujitahidi kusafisha; bila maji ya uhakika itakuwa ni kujidanganya; unless waagize wanafunzi waje na maji yao!


Sijui kama nimejaribu kukushawishi lakini ukifirikia sana hoja hizo hautakuwa mbali sana na mimi.
 
Sasa na wewe Mwanakijiji umetuma salamu za mshikamano kama nani? Au kwasababu unapenda publicity? Wewe mtu uko hapo Troy (Birmingham) unatengeneza kitambi kwa fast food halafu unawaambia wanafunzi wanaokula bondo pale Loleza wagome eti wakatae. Wakipigwa mabomu ya machozi all you are going to do is have a special program kwenye redio yako ya mtungini. Wakifukuzwa shule utatulea petition za internet hapa na kujifanya hulali usingizi. Kaa huko Ulaya acha watu wa-survive kwa namna wanavyojua sio kuwachochea wafanye fujo. Ukiendelea na upuuzi wako Shetani ataleta tapes kutoka Ameritech kudhihirisha unafiki wako. Siku zako za kukuumbua na kuonyesha unafiki wako zinahesabika. Shetani anajua unaishije hapo na kila kitu juu yako kitawekwa wazi hata kwa wale unawafunga kamba kwa maneno matamu huku Bongo.
 
Eti mapambano ya fikra, mapambano ya fikra wakati wanafunzi wanakunywa uji usio na sukari na hawana sabuni za kufua! Nyie mlioshiba ndio mnaongea lugha za mapambano ya fikra. Upuuzi mtupu! Mwanafuzi wa pale Ilboru yeye anataka kufaulu mtihani wake wa form four afanye practicals zake wewe unasema aingie kwenye mapambano ya fikra. Wewe uliyejaza tumbo, ambaye unanunua toilet paper kwa mafungo Walmart ndiye mwenye luxury ya kuongelea mapambano ya fikra, wenzako wanaochamba kwa kusota ukutani au kusotea gogo au kwenye mchanga pale Usangu Sec mapambano ya fikra yatatoka wapi?
 
Back
Top Bottom