SOCIOLOGISTTZ
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 2,609
- 2,000
Wana JF, nakumbuka zamani salamu za chama (CCM) zilikuwa kama ifuatavyo;
Kidumu chama cha Mapinduzi? .............
Idumu siasa ya ujamaa na kujitegemea ..................
Zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa CCM...........
Lakini siku hizi utawasikia wakisema CCM hoyee!
Nataka kujua zile salama za chama zimeishia wapi? na jee CCM hoyee ndiyo salamu za chama?
Naomba mnijuze wadau.
Kidumu chama cha Mapinduzi? .............
Idumu siasa ya ujamaa na kujitegemea ..................
Zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa CCM...........
Lakini siku hizi utawasikia wakisema CCM hoyee!
Nataka kujua zile salama za chama zimeishia wapi? na jee CCM hoyee ndiyo salamu za chama?
Naomba mnijuze wadau.