Esayi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2017
- 355
- 146
Habari ya uzima sana JF,
Nami nimeweza kujiunga na JF maana siku nyingi sana najaribu inanitoa ushamba na hamu yangu kubwa ya kujiunga ni kuwa nashiriki midahalo inayotolewa humu kwa wema pia nina uzi naja kuutoa nipate ushauri kutoka kwenu.
Natanguliza hii salamu kupata kujua kama naonekana post zangu kwenu mnanipata MUNGU awabariki sana nyote.
Nami nimeweza kujiunga na JF maana siku nyingi sana najaribu inanitoa ushamba na hamu yangu kubwa ya kujiunga ni kuwa nashiriki midahalo inayotolewa humu kwa wema pia nina uzi naja kuutoa nipate ushauri kutoka kwenu.
Natanguliza hii salamu kupata kujua kama naonekana post zangu kwenu mnanipata MUNGU awabariki sana nyote.