Jaji anamtihani mkubwa sana.Atoke kama shujaa au kama mtu asiye na thamani dunianiJaji awe muangalifu sana katika undeshaji wa kesi hii na maamuzi atakayokuja kuyatoa yatamgarimu milele na kizazi chake ajue kuna kitabu lazima kitungwe na kitasomwa duniani kote na nina hakika shule za sheria zita kitumia hivyo Jaji Jaji Jaji kuwa mwangalifu asiteme bigijii kwa karanga za kuonjeshwa