Salamu ya CHADEMA haijakaa kizalendo

James Martin

JF-Expert Member
Apr 2, 2016
1,206
1,509
Kwa wachache waliofuatilia mada zangu nadhani wanajua kwamba mimi siko upande wa CCM na serikali kwenye mambo mengi. Naanza na hayo kwasababu watu wengine wataanza kusema mimi ni kada wa CCM.

Mimi binafsi nafikiri hii salamu ya "peoples, power" ingefaa kuwa ya Kiswahili ili kujivunia lugha yetu.

Awali nilishawahi kuto mada chache kuonyesha kuudhika na watu wanaoongea Kiswahili kibovu. Nilitaja pia watu wanaopenda kuchanganya Kiswahili na Kiingereza bila sababu za msingi.

Kwa maoni yangu nafikiri hili la CHADEMA pia lafaa kufanyiwa kazi.
 
Kwa wachache waliofuatilia mada zangu nadhani wanajua kwamba mimi siko upande wa CCM na serikali kwenye mambo mengi. Naanza na hayo kwasababu watu wengine wataanza kusema mimi ni kada wa CCM.

Mimi binafsi nafikiri hii salamu ya "peoples, power" ingefaa kuwa ya Kiswahili ili kujivunia lugha yetu.

Awali nilishawahi kuto mada chache kuonyesha kuudhika na watu wanaoongea Kiswahili kibovu. Nilitaja pia watu wanaopenda kuchanganya Kiswahili na Kiingereza bila sababu za msingi.

Kwa maoni yangu nafikiri hili la CHADEMA pia lafaa kufanyiwa kazi.
Wamekusikia, ewe mwanaharakati huru
 
Mkuu unajua maana ya Slogan ?, Unajua Marketing ?

Slogan lazima iwe catchy.., watu waipende na waikumbuke.., sasa kama wewe unaweza kuja na slogan ambayo ni catchy hata kama ni ya Kireno nadhani watakusikiliza...

People's Power..., ni catchy na sio mouthful kama Nguvu ya Watu..., (Short and Clear)
 
Mkuu unajua maana ya Slogan ?, Unajua Marketing ?

Slogan lazima iwe catchy.., watu waipende na waikumbuke.., sasa kama wewe unaweza kuja na slogan ambayo ni catchy hata kama ni ya Kireno nadhani watakusikiliza...

People's Power..., ni catchy na sio mouthful kama Nguvu ya Watu..., (Short and Clear)

Sasa unazidi kuivunjia heshima lugha yetu. Yaani wewe unataka kunieleza Kiswahili hakijitoshelezi kutengeneza slogan ya lugha yetu?
 
Sasa unazidi kuivunjia heshima lugha yetu. Yaani wewe unataka kunieleza Kiswahili hakijitoshelezi kutengeneza slogan ya lugha yetu?
Mimi sio Marketer wala sijui ni muda gani walitumia kupata hio slogan yenye maana kama hio.., ila People's Power ni Catchy kuliko Nguvu ya Umma (pia nguvu ya Umma sidhani kama ni original..) sasa wewe bila kuwapa mbadala sidhani kama watakusikiliza.., kama una alternative watafute... nina uhakika hata watakulipa kwa juhudi zako...
 
Mimi sio Marketer wala sijui ni muda gani walitumia kupata hio slogan yenye maana kama hio.., ila People's Power ni Catchy kuliko Nguvu ya Umma (pia nguvu ya Umma sidhani kama ni original..) sasa wewe bila kuwapa mbadala sidhani kama watakusikiliza.., kama una alternative watafute... nina uhakika hata watakulipa kwa juhudi zako...

Sikumaanisha kwamba "Peoples, Power" iwe kwa Kiswahili ila watafute slogan nyingine ya Kiswahili 100%.
 
Sikumaanisha kwamba "Peoples, Power" iwe kwa Kiswahili ila watafute slogan nyingine ya Kiswahili 100%.

Hivi CHADEMA ni chama cha Kiswahili Tanzania au ni Chama cha Siasa chenye malengo yake ambayo sidhani kama kukuza lugha ni moja ya objectives zao.., sasa kwenye Slogan cha kwanza kuangalia ni vipi inaendana na malengo ya taasisi husika au ni iwe lugha gani ?

Lugha ni vehicle ya kufikisha ujumbe.., kama unafika kwa walengwa hayo mengine ni cosmetics
 
Hivi CHADEMA ni chama cha Kiswahili Tanzania au ni Chama cha Siasa chenye malengo yake ambayo sidhani kama kukuza lugha ni moja ya objectives zao.., sasa kwenye Slogan cha kwanza kuangalia ni vipi inaendana na malengo ya taasisi husika au ni iwe lugha gani ?

Lugha ni vehicle ya kufikisha ujumbe.., kama unafika kwa walengwa hayo mengine ni cosmetics

La hasha, huo ni mtazamo wako binafsi. Ukisoma rai yangu ya mwanzo utagundua kwamba kuna watu kama mimi ambao tunajivunia Kiswahili na tunakipa kipaumbele. Sasa wewe kupuuza mahitaji ya wengine inaonyesha ubinafsi. Na sishangazwi na mtazamo wako kwasababu uandikaji wako wa kuchanganya Kiswahili na Kiingereza unaonyesha fika fikra zako.
 
La hasha, huo ni mtazamo wako binafsi. Ukisoma rai yangu ya mwanzo utagundua kwamba kuna watu kama mimi ambao tunajivunia Kiswahili na tunakipa kipaumbele. Sasa wewe kupuuza mahitaji ya wengine inaonyesha ubinafsi.
Kiswahili na kujivunia pia ipo kwenye faida.., ila issue ni kwamba kueleweka na kufikisha ujumbe kunakuja kabla au baada..

Kufikisha Ujumbe husika kwa kutumia neno ambalo litakumbukwa, litaeleweka na kusemeka kwa urahisi...
AU
Kujivunia lugha hata kama neno husika halitaleta maana husika au kuleta maana lisitumike au kusahaulika baada ya sekunde....

Nadhani ni wazi watu wa marketing watakwambia ufuate kipi hapo juu
 
Kiswahili na kujivunia pia ipo kwenye faida.., ila issue ni kwamba kueleweka na kufikisha ujumbe kunakuja kabla au baada..

Kufikisha Ujumbe husika kwa kutumia neno ambalo litakumbukwa, litaeleweka na kusemeka kwa urahisi...
AU
Kujivunia lugha hata kama neno husika halitaleta maana husika au kuleta maana lisitumike au kusahaulika baada ya sekunde....

Nadhani ni wazi watu wa marketing watakwambia ufuate kipi hapo juu

Nafikiri haya uliyoyaandika tumeshayajadili na nikakupa jibu. Kwa kumbukumbu, nilikwambia kuwa naamini Kiswahili kinajitosheleza kukidhi hayo mahitaji, kina uwezo wa kutengeneza kaulimbiu isiyo sahaulika.
 
Nafikiri haya uliyoyaandika tumeshayajadili na nikakupa jibu. Kwa kumbukumbu nilikwambia kuwa naamini Kiswahili kinajitosheleza kukidhi hayo mahitaji, kina uwezo wa kutengeneza kaulimbiu isiyo sahaulika.
Tengeneza wauzie..., nina uhakika aliyewapa hii alishindwa kufanya hivyo..., sasa wangeacha kusalimiana mpaka wapate neno ambalo ni la kiswahili ?
 
Tengeneza wauzie..., nina uhakika aliyewapa hii alishindwa kufanya hivyo..., sasa wangeacha kusalimiana mpaka wapate neno ambalo ni la kiswahili ?

Hahaha, nitajaribu lakini nafikiri hata wewe pia waweza kutoa ufumbuzi.
 
Uzalendo haupimwi kwa lugha bali matendo!Kama vp tuache kutumia vitu vya nje ya Africa kukuza uzalendo!
Hiyo ni slogan tu na kiukweli inavutia!Mpaka hapo itakapokuja nyingine basi sawa,2015 ilikuwepo slogan ya mabadiliko,lakini inechuja!Hii peoples power bado inadunda tu!
 
Back
Top Bottom