Kimey
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 4,117
- 831
Ha ha ha spare tairi sio? Narudi ngoja kwanza nickie Dovutwa kapata ngapi jimbo la mchamba wima..Kwanini kimey,usisahau kuwa uko reserve
Ha ha ha spare tairi sio? Narudi ngoja kwanza nickie Dovutwa kapata ngapi jimbo la mchamba wima..Kwanini kimey,usisahau kuwa uko reserve
ha ha ha ha!hebu eleza, mpenzi ni kivumishi au kishawishi? bab gift ni mpenzi au mpenzi ni baba gift? mbinu ni za kimapenzi au mapenzi ni mbinu?
tume-subcontract The finest ajaribu kumwelewa kwanza..briefing itakuwa leo jioni kama atafanikiwa kutoka chumba cha kulala wageni.Mama Big simuwezi maana misamiati yake,lugha za picha,n.k sijui kama wadau wake mtakuwa mnamwelewa
:tongue1: tunamngoja The Finest aje kutupa yaliojiri...au hata via mobile.
wasiwasi wangu ni kama uko salama maana kwa zile staili zake nahisi umetenguka hasa anapoacha mdomo wazi!
Hivi Taito ya hii sredi inasemaje kajukuu? Nakuona unachungulia hapa.
There are currently 14 users browsing this thread. (8 members and 6 guests)
Asprin Kimey+ Wiselady Wakuchakachua Kaizer+ The Finest+ MwanajamiiOne+
Aisee Mama Big ni hazina kubwa sana sema tu watu wasije wakanipora,nitaanza muda mrefu kuwapa watu BAN kwa sababu yake
mama big amesema (via mobile) kama kijana The finest atatoka mzima leo, basi atarudi kwenye ID yake ya zamani.ha ha ha ha!
naona mkuu unajenga hoja kwa umakini unaogopa asije leta mamb o ya ''NEC''
nipe bia nikupe pesa leta chumba nikupe guest.......
Ni nomino-kivumishi cha sifahebu eleza, mpenzi ni kivumishi au kishawishi? bab gift ni mpenzi au mpenzi ni baba gift? mbinu ni za kimapenzi au mapenzi ni mbinu?
Aisee Mama Big ni hazina kubwa sana sema tu watu wasije wakanipora,nitaanza muda mrefu kuwapa watu BAN kwa sababu yake
HA HA HA HA!mama big amesema (via mobile) kama kijana The finest atatoka mzima leo, basi atarudi kwenye ID yake ya zamani.
Eti marejesho vipi mkuu......
Nimekosa nn nimekosa nn cjakosa mie ndio maana namngoja Pope Keizer! ewe Asprin naomba unickieHalafu na wewe ukifanya masihara nakuingiza kwenye kundi la Roya na Kimey.
makundi yameanza ndani ya chama? tutaunda tume!Halafu na wewe ukifanya masihara nakuingiza kwenye kundi la Roya na Kimey.
mama big amesema (via mobile) kama kijana the finest atatoka mzima leo, basi atarudi kwenye id yake ya zamani.
Ha ha ha spare tairi sio? Narudi ngoja kwanza nickie Dovutwa kapata ngapi jimbo la mchamba wima..