The beauty of GOD is beyond description
Thats where i normally fails to explain!so let the Glory be to Him
We unaepost via mobile. Bado uko na Josefina?
Kumekucha mazee:doh::doh::doh:
kabisa wiselady , glory be to god!
Unapotaka kuingilia maslahi ya Deus na washika dau wake, utahamishwa meza.
Ngumi jiwe.
Wajameni UJUMBE KUTOKA KWA DEUS...baunsa wa baa mpya ni kwamba kwa takribani wiki tatu haitaji vijana kutoka sinza,mwenge,mbezi,tabata na temeke
Wajameni UJUMBE KUTOKA KWA DEUS...baunsa wa baa mpya ni kwamba kwa takribani wiki tatu haitaji vijana kutoka sinza,mwenge,mbezi,tabata na temeke
mi nadhani dawa ni kwenda tu hivyo hivyo......!ee bana eeh!ile kitu ni hatari mzee....nimeambiwa kuna mdau ameenda singida kuwafuata kuku wengine watamwagwa pale very soonYa nini malumbano? Kwan wale kuku toka singida wako wangapi....halafu ukichanganya na rule 3...
ha ha ha!Nimecheki naye, AMESISITIZA kuwa hatakuwa na masihara. Umesahau na wa Kigamboni!:nono::nono::nono:
Kesi yako ya kurudia sehemu mara nne lazima katiba ikuadhibu! Ngoja Pope Keizer afikeWe unaepost via mobile. Bado uko na Josefina?
Kumekucha mazee:doh::doh::doh:
mi nadhani dawa ni kwenda tu hivyo hivyo......!ee bana eeh!ile kitu ni hatari mzee....nimeambiwa kuna mdau ameenda singida kuwafuata kuku wengine watamwagwa pale very soon
Kesi yako ya kurudia sehemu mara nne lazima katiba ikuadhibu! Ngoja Pope Keizer afike
Mama Big anakusalimia sana nikimalizana nae nitakuja hapo baa mpya kupata supu