B Banner Member Oct 6, 2011 5 3 Oct 13, 2011 #1 Kwakua ni mara yangu ya kwanza kujiunga nanyi,natanguliza salamu kwa wote wanachama naomba ushirikiano wenu katika kuchangia hoja mbali mbali
Kwakua ni mara yangu ya kwanza kujiunga nanyi,natanguliza salamu kwa wote wanachama naomba ushirikiano wenu katika kuchangia hoja mbali mbali
Daffi Jr JF-Expert Member Jun 25, 2011 3,825 906 Oct 13, 2011 #2 Karibu jukwaani!!!japo umekosea kuingia bila kusalimia wakubwa!!!usirudie tena
Roulette JF-Expert Member Dec 15, 2010 5,579 5,375 Oct 13, 2011 #3 Umeingia kusiko. ungeanza jukwaa la kujitambulisha. hujachelewa, anzisha thread kule, upokelewe na welcome comitee (kina katavi na aminata, lol)
Umeingia kusiko. ungeanza jukwaa la kujitambulisha. hujachelewa, anzisha thread kule, upokelewe na welcome comitee (kina katavi na aminata, lol)
A Ave Ave Maria JF-Expert Member Apr 22, 2011 10,707 5,664 Oct 13, 2011 #4 Hivi umepitia mlango gani vile? Heheheee.......karibu sana!!
Viol JF-Expert Member Dec 15, 2009 25,426 18,228 Oct 14, 2011 #5 We ni jinsia gani?kama ya kike mi ndo niko mapokezi
AMINATA 9 JF-Expert Member Aug 6, 2011 2,120 641 Oct 14, 2011 #6 Excellent said: We ni jinsia gani?kama ya kike mi ndo niko mapokezi Click to expand... hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nimeipenda sana hii
Excellent said: We ni jinsia gani?kama ya kike mi ndo niko mapokezi Click to expand... hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nimeipenda sana hii
Viol JF-Expert Member Dec 15, 2009 25,426 18,228 Oct 14, 2011 #7 AMINATA 9 said: hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nimeipenda sana hii Click to expand... Amina naomba pliz kama wewe pia ni mgeni tukutane kule pm kwenye sebule ya mapokezi
AMINATA 9 said: hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa nimeipenda sana hii Click to expand... Amina naomba pliz kama wewe pia ni mgeni tukutane kule pm kwenye sebule ya mapokezi
N Njabecom New Member May 23, 2011 3 0 Oct 14, 2011 #8 zimba,wa r chuga nimetimba,kazi kama kimba,hapa hakuna kuimba,hapa ni ngumu alafu nyeusi tuu kama lostboy.
zimba,wa r chuga nimetimba,kazi kama kimba,hapa hakuna kuimba,hapa ni ngumu alafu nyeusi tuu kama lostboy.