Hahaaa.... Unamwambia wengine waende YouTube huku N ww hujamsikiliza Kumbe..Ana mume,hata kwenye interview kaweka wazi,Jaribu kuitafuta YouTube.
Na huyo mume wake walikutana kipindi fatuma ana miaka 16, kwa sasa Fatuma ana miaka 51. watoto hajaongelea so naamini atakuwa nao.
Naomba link nikaitizame maana nimajitahid sana kuitafuta nimeshindwa
Wanahabari wa Tanzania wengine ovyo sana.
Unamuita mtu kwenye mahojiano, anataka kufunguka, halafu unamkataza mengine asiongee?
Upumbavu gani huu?
Mkuu nimeingalia mara mbili nikiwa nyumbani EATV ambapo hicho kipindi cha salama hurushwa,ila mara zote sijaiangalia mwanzo na baadhi ya vipande kwa sababu kadha wa kadha.Hahaaa.... Unamwambia wengine waende YouTube huku N ww hujamsikiliza Kumbe..
Kasema moja kati ya happiest moments ni kukaa na familia yake yaani watoto wake wawili mmoja wa kike mwengine wa kiume na housegirl....
Salama anawahoji kupitia TV ipi?Bado haijaipandisha youtube
EATV kila Halhamisi saa tatu usiku, ila uwa anachanganya changanya anahoji wasanii zaidi na vijana wenye influence kama yule dogo ambaye ameanzisha brand yake ya vifaa kwa kushirikiana na investors na designers wa vifaa toka silcon valleySalama anawahoji kupitia TV ipi?
Wajinga ndio waliwao.Jana nimebahatika kutazama kipindi cha Salama Jabir akipiga story na Fatuma Karume.
Wamezungumzia mambo mengi ila mimi kwangu hasa nilichokiona kwa Shangazi ni kwamba ni mtu ambaye hana furaha (ni mtazamo wangu) kutokana na muonekano wake. Na hii ninahisi inasababishwa na mtazamo wake kuhusu mambo yanayoendelea hasa akilalamika sana kuhusu mfumo wa kutoa haki hasa mahakama kuwa hazifanyi kazi kwa haki na kuwa kama mhimili unaojitegemea.
Pia, katika maelezo yake nahisi jambo lingine linalomsumbua, ni kwamba anaona kuna watu wanaonewa wanakandamizwa na hawajui kama wanaonewa wala kukandamizwa bado wanaona kila kitu ni sawa na hata ukiwaeleza hawaelewi unachowaeleza. Hili jambo uwa linawasumbua wengi nadhani Zitto akiwa mmoja kati ya watu ambao uwa wanachambua mambo ambayo wengi uwa hawayaelewi na wala kumsikiliza.
Pia, alijaribu kughusia kuhusu ofisi yao kuchomwa moto japo Salama alimuwahi akamwambia hataki kwenda huko na pia aligusia kuwa kafungiwa kufanya shughuli za uwakili, na akaendelea kuwa anaishi kwa kufanya shughuli za arbitration huko Uingereza na ni shughuli aliyokuwa akiifanya hata kabla hajaanza kufanya masuala ya uwakili Tanzania.
Ilikuwa interview nzuri nilipata kumfahamu zaidi huyu shangazi. Mungu ampatie maisha marefu huyu mwanamama.
Kazi ya uandishi wa habari kugangamala.Inategemeana kiongozi. Tz ya leo sio ya zamani. Unaweza sababisha kituo kufungwa kwa sababu ya interest fulani... tumebana uhuru wenyewe..
Unaskiaga wapi?Naskiaga huyu mama ni lesbo
Ana mume,hata kwenye interview kaweka wazi,Jaribu kuitafuta YouTube.
Na huyo mume wake walikutana kipindi fatuma ana miaka 16, kwa sasa Fatuma ana miaka 51. watoto hajaongelea so naamini atakuwa nao.
Hahahha naona unanisakizia mtani wangu
Huyo ni mfano wa mtoto wa kiongozi,sio lemutuz babu zima linauza sura humu jf na vijukuu vyake...mtoto wa PM mstaafu unamiliki tumbo na mwili kibanda
Kuna saa huwezi kumuelewa mtu aliyekulia maisha ya juu hata kama anakueleza ukweli unabaki kuona anakusimanga,anakusumbua,hajui shida zako bali anaigiza kuzifahamu. Hali anayopitia shangazi ni hali wanayopitia wengi.
Angalia wataalam wa masuala ya watoto,wamama wakishafahamu huyo mtaalam hana au hajawahi kuwa na mtoto basi wanaona hafai hata kama ana utaalam wa kiasi gani.
Atulie tu ale pension ya mzee wakeJana nimebahatika kutazama kipindi cha Salama Jabir akipiga story na Fatuma Karume.
Wamezungumzia mambo mengi ila mimi kwangu hasa nilichokiona kwa Shangazi ni kwamba ni mtu ambaye hana furaha (ni mtazamo wangu) kutokana na muonekano wake. Na hii ninahisi inasababishwa na mtazamo wake kuhusu mambo yanayoendelea hasa akilalamika sana kuhusu mfumo wa kutoa haki hasa mahakama kuwa hazifanyi kazi kwa haki na kuwa kama mhimili unaojitegemea.
Pia, katika maelezo yake nahisi jambo lingine linalomsumbua, ni kwamba anaona kuna watu wanaonewa wanakandamizwa na hawajui kama wanaonewa wala kukandamizwa bado wanaona kila kitu ni sawa na hata ukiwaeleza hawaelewi unachowaeleza. Hili jambo uwa linawasumbua wengi nadhani Zitto akiwa mmoja kati ya watu ambao uwa wanachambua mambo ambayo wengi uwa hawayaelewi na wala kumsikiliza.
Pia, alijaribu kughusia kuhusu ofisi yao kuchomwa moto japo Salama alimuwahi akamwambia hataki kwenda huko na pia aligusia kuwa kafungiwa kufanya shughuli za uwakili, na akaendelea kuwa anaishi kwa kufanya shughuli za arbitration huko Uingereza na ni shughuli aliyokuwa akiifanya hata kabla hajaanza kufanya masuala ya uwakili Tanzania.
Ilikuwa interview nzuri nilipata kumfahamu zaidi huyu shangazi. Mungu ampatie maisha marefu huyu mwanamama.