ALEXANDERKAPING
New Member
- Oct 25, 2011
- 1
- 0
HELLO!! JAMII FORUMS ARE YOU ALRIGHT PEOPLE?. Wakuu nimemaliza chuo kikuu bado sijapata kazi, natafuta kazi kwenye makampuni ya simu au makampuni mengine yanayohitaji IT person. kwa makampuni ya simu mimi ni engineer wa telecom. so may you help me guys!!