Salam za Mwaka Mpya kwa Rais wangu JPM

Dazzle 2

Senior Member
Oct 9, 2015
125
71
Kwanza nianze kwa kukupongeza kwa kazi kubwa inayotumia nguvu maarifa na hekima kubwa uliyoifanya tangu umeingia madarakani. Pongezi hizi zinaendana na kukutakia afya njema na baraka za Mungu ktk kipindi cha mwaka 2017.Kama Mungu wangu aishivyo ulindwe na damu ya Yesu ambaye tunakumbuka kuzaliwa kwake.

Basi Mungu wa amani akubariki kutoka kwako na kuingia kwako tangu sasa na hata milele.

HERI YA MWAKA MPYA MH JPM
 
Nitajie mambo 5 ya maana na umuhimu zaidi kwa Taifa na chama usitaje ndege tu maana amekurupuka zaidi hasa hilo Boeing ndio halin maana kwa sasa
Kwanza nianze kwa kukupongeza kwa kazi kubwa inayotumia nguvu maarifa na hekima kubwa uliyoifanya tangu umeingia madarakani. Pongezi hizi zinaendana na kukutakia afya njema na baraka za Mungu ktk kipindi cha mwaka 2017.Kama Mungu wangu aishivyo ulindwe na damu ya Yesu ambaye tunakumbuka kuzaliwa kwake.

Basi Mungu wa amani akubariki kutoka kwako na kuingia kwako tangu sasa na hata milele.

HERI YA MWAKA MPYA MH JPM
 
Back
Top Bottom