Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,426
- 7,736
Edward Lowassa: Tunapouanza mwaka huu mpya niwaombe watanzania wenzangu tukatae kugawanywa kwa sababu yoyote ile. Umoja na mshikamano ndio nguzo yetu. Nawatakia Heri na Fanaka ya mwaka mpya 2018.
Edward Lowassa: Napenda kutumia siku ya leo kizishukuru taasisi zote za kidini kwa mchango wao katika amani ya nchi yetu.
Edward Lowassa: Taasisi hizi za kidini zimekuwa mstari wa mbele siku zote katika kuendeleza sekta za afya. elimu, maji na nyingine nyingi. Wanastahili pongezi nyingi