Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,783
- 28,798
Hahaaha tutapambana tu mimi ArgentinaHahahaaaa. Hapana mie team Germany Swahiba.
Hizo za Afrika nashangilia tu sababu na mie ni Muafrika.
Safari hii Africa sipo
Hahaaha tutapambana tu mimi ArgentinaHahahaaaa. Hapana mie team Germany Swahiba.
Hizo za Afrika nashangilia tu sababu na mie ni Muafrika.
Hahaaa. Sawa Swahiba ila kundi lako sio gumu kama la kwangu aisee.Hahaaha tutapambana tu mimi Argentina
Safari hii Africa sipo
Hahaha tusubiri tuone mambo yakishaanza, bingwa mteteziHahaaa. Sawa Swahiba ila kundi lako sio gumu kama la kwangu aisee.
Tuombe Uzima Insha Allah tuje kuona jinsi nyasi zitakavyoumia.
Hahahaaa. Usijali Swahiba tuko pamoja.Hahaha tusubiri tuone mambo yakishaanza, bingwa mtetezi
Hahaaha tutapambana tu mimi Argentina
Safari hii Africa sipo
Hahaaaa. Nilivyooana hiyo Avatar nikajua tu weye ni team Argentina. Hongera Mkuu.Pamoja bro, ila kwa Africa nipo Egypt and Morocco
JingalaoSiamini kama Angefanya la ajabu kwenye kombe la dunia...
Hahaaaa. Nilivyooana hiyo Avatar nikajua tu weye ni team Argentina. Hongera Mkuu.
Usijali Kaka. Amiin Insha Allah natumai uzima ataupata.Pamoja dada yangu,, Argentina dam dam aise . Tumuombee ndugu yetu Mo Salah apone haraka.
Usijali Kaka. Amiin Insha Allah natumai uzima ataupata.
Sababu kiukweli anaweza fanya kitu kwenye World Cup kwani kwa jinsi jina lake lilivyo kubwa akiwa uwanjani tu tayari ni matumbo joto kwa mabeki wa timu pinzani.
Nina imani soon atakaa sawa.
Kabisa dada yangu...Inshaalah dua zetu kwa pamoja
angefanya we ukuona ile game ya friends match na ureno alivyo waangaisha warenoSiamini kama Angefanya la ajabu kwenye kombe la dunia...
Hafatilii soka huyu..angefanya we ukuona ile game ya friends match na ureno alivyo waangaisha wareno
kabisa aendele kufatilia vplHafatilii soka huyu..