X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,810
Saladi Ya Majani (lettuce) Na Mapilipili Mboga.
VIPIMO
Saladi ya uwa (ya duwara).............. 1
Matango.............. 2
Karoti.............. 2
Pilipili kubwa la kijani hoho.............. 1
Pilipili kubwa jekundu hoho.............. 1
Nyanya.............. 2
Limau au ndimu.............. 1
NAMNA YA KUTAYARISHA
1. Katakata Saladi weka katika trey
2. Ukipenda kumenya tango, menya na kata vipande vya duara.
3. Kwaruza karoti na kata vipande vya duara au ukipenda kwaruza.
4. Katakata mapilipili kwa urefu.
5. Kata nyanya kwanza nusu kisha katakata vipande vyembamba.
6. Changanya vizuri vitu vyote hivyo katika treya ya kupakulia na pambia kwa vipande vya limau au ndimu. Tayari kuliwa.