mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,203
- 44,650
Vile vifurushi vyenu vya usiku Kama wanga bado hamjarekebisha?.
Unanunua bando mchana unaambiwa usubiri usiku utumie
Unanunua bando mchana unaambiwa usubiri usiku utumie
TTCL naombeni kazii
Wanajua kuandika ila ni typing errors... Lakn hzo typing errors ni za kukosa umakini.Kuandika tu hamjui, hakika hamna mjualo... salaan ndo vijidudu gani?
Kipi hicho?Vile vifurushi vyenu vya usiku Kama wanga bado hamjarekebisha?.
Unanunua bando mchana unaambiwa usubiri usiku utumie
Bando bora la muda wote kutoka TTCL
Hakuna cha 4G hapa Igunga haisapot hyo 4G yako mpaka li line nimetoaTunakwenda kwa kasi ya 4G na tunapenda kukukumbusha kurudi nyumbani maana kumenoga.
#RudiNyumbaniKumenoga
Kipi hicho?
Sawa mkuu tumekuelewa.Kile unajiunga mchana alafu unawekewa limit za mb zingine utumie usiku.
Sasa Kama nilikuwa nataka kutumia mb usiku si ningejiunga hyo usiku.
Sawa Lakini hakuna vifurushi vizuri vya TTCL-TTCL na wakati huohuo mitandao yote na Data.Asante kwa kuwa nasi kipindi chote cha nyuma, tunategemea kuwaletea huduma bora zaidi ndani ya mwaka huu #2021.
#RudiNyumbaniKumenogaView attachment 1664956
Mbona mmepunguza kifurushi cha chuo? Ina maana wanachuo washakuwa uchumi wa kati? Badala ya kuwasaidia mnawanyonyaAsante kwa kuwa nasi kipindi chote cha nyuma, tunategemea kuwaletea huduma bora zaidi ndani ya mwaka huu #2021.
#RudiNyumbaniKumenogaView attachment 1664956
NiPM namba yako ya TTCL kwa maaada zaidi.Ttcl mna mambo ya ajabu utakuta umetuma pesa kny T-pesa na imekuletea msg kabisa salio limeingi,
unajiunga kifurusi cha ajabu unaambiwa huna salio, ukiwapigia customer care hakuna msaada wowote zaidi ya kuambiwa mpendwa mteja salio lako linaonekana halijafika, hali hii imenitokea kama x 3 hv,
mara ya mwisho mmeniibia elfu 11 kila nikiweka salio naambiwa sina salio, badilikeni japo kuwa tangu hiyo siku nimewahama.