Niite na mimiNikienda TRA huwa namwita ninaye mkuta "dogo"
Namuita kidharau ili aanze kiburi nipate nafasi ya kwenda kumshitaki kwa bosi wake.
Wengi huwa wapole
Kwa hiyo huwa unajiona bonge la mjanja?kuna raia mna misifaNikienda TRA huwa namwita ninaye mkuta "dogo"
Namuita kidharau ili aanze kiburi nipate nafasi ya kwenda kumshitaki kwa bosi wake.
Wengi huwa wapole
Na TRC pia wako fasta sanaNi aibu, narejea tena ni aibu. Ukipiga simu huduma kwa wateja TTCL huwezi amini utaenda bafuni kuoga na kurejea bado unaambiwa subiri kwani simu yako ni muhimu. Hii ni muda wote.
Jaribu TRA, utapokelewa na kama si muda wa kazi utaambiwa.
TTCL mnasindwa wapi?
Itakua wana watu wachache sana kwenye call center.
Ni aibu, narejea tena ni aibu. Ukipiga simu huduma kwa wateja TTCL huwezi amini utaenda bafuni kuoga na kurejea bado unaambiwa subiri kwani simu yako ni muhimu. Hii ni muda wote.
Jaribu TRA, utapokelewa na kama si muda wa kazi utaambiwa.
TTCL mnasindwa wapi?
Wamefanyaje tena mkuu?tatizo watoa huduma wenu
Mkuu, mie ni mlipa kodi tu na sina chochote pale ila TTCL inakera.TRA hawa hawa wanaobambika kodi? Wanaofunga biashara za watu? Wanaonyanyasa walipa kodi ili kujipatia rushwa?
Aaaah Wapi? Si bure mleta mada utakuwa ndiyo TRA umekuja ki design design tu.
Hatudanganyiki!
Watoa huduma upande wa huduma kwa wateja wapo wengi kuliko unavyofikiria