S.S
Asanta kwa kumbuko lako, mimi na tunae'share nae shuka ndiyo twatoka ambako waTZ wengi wanapaita mbuga za wanyama, lakini wasaidizi wa Saidi Mwema (baadhi) walipageuza machimbo ya madini !
...mbona hukunibip kua nina salam zangu huku bana?...asante sana SS...kakaako jana sikunywa sana nimepelekwa mahali eti bia tsh 4000!!!Boo!
We dogo salamu zako hazijakamilika....ulipaswa kusema kwa kaka zangu Eb52 na mkewe Amyner...kwa kaka Rejao. Na mkewe Canta...
Otherwise tumezipokea kwa mikono miwili....
Asante
Hahahaaaaa sawa bwana mdogo....Ila hata Smile hujamtendea haki...yan unamwita mpendwa? Lol atakumwaga sasa hivi uanze kulia na kuomba msamaha...ah ah ah... woote wamewakilishwa... kuna wengine wana status mbilimbili! mara dada shemeji mara kaka shemeji! sasa ningesema CAnta na Re-ja-o, kuna mtu angenijia na ngumi hapa!
Hahahaaa Mtally nakusalimia sana kokote uliko ndani ya jiji la Mbeya!Mbona wajomba zako hujatutaja?
Hahahaaaaa sawa bwana mdogo....Ila hata Smile hujamtendea haki...yan unamwita mpendwa? Lol atakumwaga sasa hivi uanze kulia na kuomba msamaha...
Ok sawa....ngoja ile kwako utakaposikia Bagah anamwita Smile Sweetie......huyo mpendwa ndio tunavyoitana kwa sasa, yaani 'DADA MPENDWA KATIKA BWANA' mpaka tutakapohalalishwa.... raha!
Hahahaaaaa aiseee nimecheka sana SS unajua hadi nimejishangaa na nimetamani wangekuja haraka wajibu hili bomu maana ni kubwa sana kwa wote lolmfupa uliomshinda MTEI, BAGAH hatauweza!
Teh ngoja nitawaambia....ila usiwakimbie sasa....sawa?ukiwaona wanatembea tembea huko mitaani wajulishe!
mkuu! wewe tena ninakukumbuka ulinikaribisha vizuri sana kule jokes, heri ya pasaka kwako pia...
Kwani Hus anamaanisha Husninyo?kaka unamfahamu Judgement? angalia usije kuwa unachokoza ugomvi wa mawe ilhali nyumba yako ya vioo!