Salaam za wapendwa wa zion!

Swahilian

JF-Expert Member
Apr 28, 2009
591
66
aah! ooh! naam! ni pumzi iliyo tumaini na isiyoshakani! naamini kile ambacho uliathamini na baadaye kikatumika na baadaye ukafika kwa walioamini' si mie mwenye fimbo na wala sikuchapa mie lakini yamegawanyika' namshukuru mola,ALLAH,JAH,JEHOVA nimefika sayuni' Nina ujumbe wa wengi wanokuja ingawa sina hakika iwapo wote watafika hapa duniani' nimechoka sana naomba nafasi nipumzike, kesho ntawahabarisha nlipokuwa kwake! ENYI MLIOAMINI.. NIPOKEENI...
 
Sema kwanza walioamini nini? maana inawezekana unasema walioamini kuwa ufisadi ni ujanja wa kupata! au unamaanisha wale wanaoamini miungu! Sema kwa uwazi wale wanaoamini nini????? maana naona unaingia na ugeni wa mkwara.
 
ukiishi kwa kuamini utaamini chochote' na utatafuta imani popote, ye aaminiye ufisadi kwa kuchukia tu au kuandika tu naye ni muumini au siyo? mi ni mmoja wa waumini kama wewe na hao japo labda mi cjui hasa naamini hasa nini labda we utajua, na ikiwa nawe unaamini! ufisadi si biashara pekee mjombaa! japo inauza sana kipindi hiki na wateja wako bwerere! na usijali tutakuwa pamoja na kuamini kwetu,au siyo ndugu yangu!
 
Swahilian, weka huo ujumbe wa wote. Maana naona umeshaanza uswahilian. Maneno meeeeeengi.
 
usijali ndugu yangu Marx naona we ni Mmaxist wa kweli, usiwe na haraka mjomba taratibu 2sije feli, we tulia nami nitulie lakini hakiki usalama upo kwani babylony ni wengi wameweka manowari, upande wangu ndo wako ndugu yangu japo wangu na kamba mguuni naomba uniamini na tule kiapo cha utii yaani kufa na kuishi ili maadui wasituzidi. salaaam hizooo!
 
usijali ndugu yangu Marx naona we ni Mmaxist wa kweli, usiwe na haraka mjomba taratibu 2sije feli, we tulia nami nitulie lakini hakiki usalama upo kwani babylony ni wengi wameweka manowari, upande wangu ndo wako ndugu yangu japo wangu na kamba mguuni naomba uniamini na tule kiapo cha utii yaani kufa na kuishi ili maadui wasituzidi. salaaam hizooo![the mo ye shake hands the mo ye nuh fren's]
 
aah! ooh! naam! ni pumzi iliyo tumaini na isiyoshakani! naamini kile ambacho uliathamini na baadaye kikatumika na baadaye ukafika kwa walioamini' si mie mwenye fimbo na wala sikuchapa mie lakini yamegawanyika' namshukuru mola,ALLAH,JAH,JEHOVA nimefika sayuni' Nina ujumbe wa wengi wanokuja ingawa sina hakika iwapo wote watafika hapa duniani' nimechoka sana naomba nafasi nipumzike, kesho ntawahabarisha nlipokuwa kwake! ENYI MLIOAMINI.. NIPOKEENI...

Swahilian
Join Date: Tue Apr 2009
Location: Dar es salaam
Posts: 10
Thanks: 0
Thanked 1 Time in 1 Post
Rep Power: 0
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_pos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif
reputation_highpos.gif

Credits: 17,630
 
aah! ooh! naam! ni pumzi iliyo tumaini na isiyoshakani! naamini kile ambacho uliathamini na baadaye kikatumika na baadaye ukafika kwa walioamini' si mie mwenye fimbo na wala sikuchapa mie lakini yamegawanyika' namshukuru mola,ALLAH,JAH,JEHOVA nimefika sayuni' Nina ujumbe wa wengi wanokuja ingawa sina hakika iwapo wote watafika hapa duniani' nimechoka sana naomba nafasi nipumzike, kesho ntawahabarisha nlipokuwa kwake! ENYI MLIOAMINI.. NIPOKEENI...

Tulio amini kitu gani, Bring your message, ndio tatakupokea...
 
usijali ndugu yangu Marx naona we ni Mmaxist wa kweli, usiwe na haraka mjomba taratibu 2sije feli, we tulia nami nitulie lakini hakiki usalama upo kwani babylony ni wengi wameweka manowari, upande wangu ndo wako ndugu yangu japo wangu na kamba mguuni naomba uniamini na tule kiapo cha utii yaani kufa na kuishi ili maadui wasituzidi. salaaam hizooo![the mo ye shake hands the mo ye nuh fren's]

Swahilian, swahilian, wa gwan? Bring da ujumbe.

Huu undugu bila ya kujuwa unatoka wapi, na una ujumbe gani, unanitia wasiwasi.
 
Sawa kaka! najua una hamu ya kujua na mie bado sijagundua kuwa kipi hasa unakitaka' wacha nikae nione na nifanye kama vile ufanyavyo na nile kile ulacho' linishindapo swala ntakuuliza ingawa najua ni vigumu kufika hapo ulipo' tafadhali niandikacho ndo hicho, niazime yako macho kwa muda utajua na utakipata kile ulacho' mie ni ndege kama wewe ingawa si lazima tupae ndo tujulikane hivyo,nafkiri tuna sifa zetu bainifu apataye tabu afikiriaye sicho!
 
Kwahiyo wewe ni ndege asiye paa. Unajuwa, ndege wengi wasio paa wanafugwa, sasa na wewe sijuwi ni wakivipi?

Maana sifa ya ndege, kupaa.
 
Nisome'si lazima tupae ndo tujulikane' si tuna sifa zetu ausiyo? hapo 2ko pamoja nafkiri shaka hakuna! tatizo nawewe mtata mnoo! basi inakuwaa mbilinge bin pukuru! ucjali ndege mie mtulivu ila cjapata kufugwa sasa cjui ndo gundu au? we nisome tu ukiweza ka vp nifuge, au vp? TUPAE MAN!
 
Back
Top Bottom